Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: January anataka mambo makubwa

Rais Jakaya Kikwete amezungumzia nia ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba kutaka kuwania urais mwakani, akisema mwanasiasa huyo kijana “anataka mambo makubwa, lakini hajamshirikisha”.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mawaziri waahidi mambo makubwa

Baada ya Mawaziri na Manaibu Waziri kuapishwa jana na Rais Jakaya Kikwete, wametoa ahadi lukuki kwa Watanzania kuhusu utendaji wao.

 

9 years ago

Bongo5

Kayumba anakuja na mambo makubwa – Madam Rita

Mshindi wa Bongo Star Search 2015, Kayumba akiomba dua baada ya kutangazwa mshindi

Madam Rita amedai kuwa mshindi wa BSS 2015, Kayumba Juma anakuja na mambo makubwa.

Madam Rita na Kayumba

Rita ameiambia Bongo5 kuwa mpaka sasa wapo kwenye maandalizi ya mwisho ya ujio wake.

“Kayumba anakuja na mambo makubwa,” amesema. “Watu wenyewe wataona na kuthibitisha hili ninalolisema. Nataka watu wawe na subira kila kitu kitakuwa wazi soon Mungu akipenda.”

Rita na Kayumba walisafiri kwenda nchini Afrika Kusini kwaajili ya kushoot video ya wimbo wa kwanza wa msanii huyo.

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

Habarileo

RC akiri Watanzania wakijituma hufanya mambo makubwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky SadikiMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadiki, amesema, Watanzania wakijituma, wakiwa waadilifu na waaminifu watafanya mambo makubwa yenye manufaa kwa maisha yao na nchi yao.

 

10 years ago

Bongo5

Tunda Man: Ukata unatusababisha tusifanye mambo makubwa

Muimbaji wa ‘Msambinungwa’ Tunda Man amesema kinachomfanya ashindwe kufanya mambo makubwa kwenye muziki ni ukata wa pesa. Tunda ameiambia Bongo5 kuwa anashindwa kufanya video yenye bajeti kubwa kutokana na halisi halisi ya kile anachoiingiza. “Vikwazo vingi, amount kidogo inakuwa inatatiza. Ukitaka kufanya video ya milioni kumi, ishirini hauwezi, wewe unakuwa na milioni tano. Kwahiyo unakuta […]

 

11 years ago

Michuzi

Musley Al Rawahi apania kufanya mambo makubwa Simba

Musley Al Rawahi akisisitiza jambo.Mjumbe mpya wa kamati ya utendaji wa klabu ya Simba, Musley Al Rawahi, amesema kuwa silaha kubwa ya kufikia maendeleo katika klabu hiyo ni umoja na kufanya kazi kwa kujituma na uadilifu mkubwa.Musley ambaye mwaka jana alimzawadia gari kiungo wa Simba SC, Ramadhani “Messi” Singano kwa kucheza vizuri katika ligi kuu ya Tanzania Bara,  alisema hayo mara baada ya kutangazwa kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji wa klabu hiyo na pia kuwa miongozi mwa wajumbe...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mh. Ridhiwani Kikwete afanya mambo makubwa jimbo la Chalinze

1

Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwani wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za sekondari kwa jimbo zima la Chalinze wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba jana, Shule ambazo zimepewa vitanda hivyo ni shule ya sekondari Chalinze 50, Moleto Lugoba 50, Mandera 25, Talawanda 24, Kiwangwa 50, Lugoba 38 na Kikaro 30.katika hatua hiyo Mh. Ridhiwania...

 

5 years ago

Michuzi

Rais Unafanya Mambo Mapya na Makubwa: Mwinyi Amwambia Magufuli


Raisi mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amempongeza sana Raisi John Magufuli kwa kufanya mambo mengi, mapya na mazuri.

Akisalimia wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi wa ofisi za ikulu Dodoma, mzee Mwinyi amesema Rais Magufuli anatumia fikra za ujana kufanya mambo makubwa nchini.

Baadhi ya mambo mapya na makubwa aliyofanya Raisi Magufuli ni kuhamishia serikali na wizara zote Dodoma na kujenga ikulu mpya Dodoma.

Raisi Magufuli pia anajenga mradi mkubwa wa umeme unaoitwa Mwalimu Nyerere...

 

11 years ago

GPL

MH. RIDHIWANI KIKWETE AFANYA MAMBO MAKUBWA JIMBO LA CHALINZE‏

Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mamba ment ambayo ndiyo iliyotoa vitanda hivyo wakivikabidhi kwa Diwani wa kata ya Bwilingu Bw. Ahmde Nasser na Mwalimu Mkuu wa Shule ya sekondari Chalinze Bw. Emmanuel Kahabi katika makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba. Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akimkabidhi vitanda Mkuu wa shule ya… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani