Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco yazindua huduma mpya ya malipo

>Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limezindua huduma ya malipo ya bili kwa mitandao kwa wateja wanaotumia mita, huku likijigamba kuvuka malengo ya kuunganisha umeme kwa wateja wanaotumia nishati hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Airtel yazindua huduma ya kufanya malipo kwa kutumia kadi


11Mfanyabiashara na mmiliki wa duka la dawa katika eneo la Mrombo Arusha Bi elizabeth mshana akiongea na Afisa Uhusiano wa Airtel Jane Matinde juu ya huduma ya kufanya malipo kwa kutumia kadi ya Airtel Money Near Field Communication (NFC) based solution ya  Airtel Money. kadi hii maalum inamuwezesha mteja kufanya malipo kwa haraka kwa kugusisha kwenye kifaa maalum tu mara moja, kisha kuweka nambari ya siri na kufanya malipo mahali popote. kwa sasa huduma hii imeanza...

 

5 years ago

BBCSwahili

WhatsApp Pay: Facebook yazindua huduma ya kutuma fedha bila malipo

WhatsApp imezindua huduma ya malipo ya kidijitali nchini Brazil katika juhudi za kutumia umaarufu wake kuingia kwenye masoko yanayoibuka katika ulimwengu wa biashara.

 

10 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA KUFANYA MALIPO KWA KUTUMIA KADI‏

Mfanyabiashara na mmiliki wa duka la dawa katika eneo la Mrombo Arusha Bi elizabeth mshana akiongea na Afisa Uhusiano wa Airtel Jane Matinde juu ya huduma ya kufanya malipo kwa kutumia kadi ya Airtel Money Near Field Communication (NFC) based solution ya  Airtel Money. kadi hii maalum inamuwezesha mteja kufanya malipo kwa haraka kwa kugusisha kwenye kifaa maalum tu mara moja, kisha kuweka nambari ya siri na kufanya malipo...

 

11 years ago

Michuzi

CRDB yazindua huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi KCMC

Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini Dk Martini Shao akiwa na mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB pamoja na kaimu mkurugenzi wa hosptali ya KCMC .Prof Raimosi Ollomi wakati akizindua tawi dogo la Benki ya CRDB. Mkurugenzi mkuu wa Benki ya CRDB,Dk Charles Kimei akimuelekeza jambo Askofu Dk Martin Shao kabla ya uzinduzi wa huduma ya malipo ya gharama za matibabu kwa njia ya Kadi. Askofu mkuu wa kanisa la kiinjili la kilutheli dayosisi ya kaskazini,Dk Martin...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Interswitch yazindua huduma ya malipo kwa njia ya mtandao jijini Dar leo

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Interswitch kwa Afrika Mashariki Bernard Matthewman, akizungumza na wadau mbalimbali Dar es Salaam leo , wakati wa uzinduzi wa kampuni hiyo hapa nchini uliofanyika Hoteli ya Hyatt Regency- Kilimanjaro pamoja na huduma ya malipo kwa njia ya mtandao.

Wadau wakiwa kwenye uzinduzi huo.

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Maofisa wa kampuni hiyo wakiwa kwenye uzinduzi huo.

Mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo akiwa katika uzinduzi huo.

Mkutano na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yazindua huduma mpya

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza rasmi huduma ya kisasa ya kifedha kupitia huduma ya Airtel Money. Huduma hiyo mpya ya kibunifu itatoa uzoefu tofauti wa huduma za...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Bayport yazindua huduma mpya

TAASISI ya kifedha ya Bayport Tanzania imezindua huduma mpya ya mikopo ya bidhaa ikiwa na lengo la kurahisisha utendaji kazi wa watumishi wa umma na wafanyakazi wa kampuni zilizoidhinishwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Google yazindua huduma mpya ya simu

Kampuni ya Google imatangaza kuwa itazindua huduma mpya nchini Marekani ambayo inaweza kutumiwa wakati wa safari za nje

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAZINDUA HUDUMA MPYA YA SWITCHON

Wasanii wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo,Vanessa Mdee,Nay wa Mitego na Barnaba wakishilikiana kuimba wimbo maalubu uliyotumika kwenye tangazo jipya katika kufanikisha zoezi la uzinduzi huo. Meneja Uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando (kushoto), akimkabizi mmoja wa wadau aliyebahatika kujishindia simu mahali hapo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani