NBC hatarini kufilisiwa
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), ipo hatarini kufilisiwa kutokana na kushindwa kulipa deni la Sh bilioni 22.4 inazodaiwa na kundi la kibenki la Afrika Kusini la ABSA Group Limited.
ABSA kwa sasa inamiliki asilimia 55 ya hisa za benki hiyo na Serikali ikibakiwa na asilimia 30, huku asilimia nyingine 15 za hisa zikimilikiwa na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) kutoka World Bank Group.
Akizungumza jana katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Tanesco hatarini kufilisiwa
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Simba, Yanga hatarini kufilisiwa
11 years ago
Mwananchi23 Oct
Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC
5 years ago
Michuzi
WATEJA WA NBC WAENDELEA KUIBUKA KIDEDEA KUPITIA AKAUNTI YA NBC MALENGO


5 years ago
Michuzi
WATEJA WA NBC WAENDELEA KUIBUKA KIDEDEA KUPITIA NBC MALENGO

11 years ago
MichuziBENKI YA NBC YAZINDUA HUDUMA MPYA YA NBC DIRECT
10 years ago
Habarileo14 Nov
Wakwepa kodi sasa kufilisiwa
SERIKALI imesoma kwa mara ya pili bungeni, Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi (TAA) wa mwaka 2014, ambapo pamoja na mambo mengine, sheria hiyo itafanya wakwepa kodi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.
11 years ago
Habarileo24 May
Tembo hatarini kutoweka
TANZANIA inapoteza tembo 39 kila siku kutokana na matukio ya ujangili. Hali hiyo inatishia uwepo wa tembo hao ifikapo mwaka 2026.