Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanesco hatarini kufilisiwa

Wakati Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likipandisha bei ya umeme kwa zaidi ya asilimia 40, limetakiwa kulipa zaidi ya Sh844.8 bilioni, kwa kampuni zilizoifungulia kesi mbili tofauti kwa kukiuka mkataba wa kukodisha mitambo ya kuzalisha umeme ya Kampuni ya IPTL.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

NBC hatarini kufilisiwa

NBCNA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), ipo hatarini kufilisiwa kutokana na kushindwa kulipa deni la Sh bilioni 22.4 inazodaiwa na kundi la kibenki la Afrika Kusini la ABSA Group Limited.

ABSA kwa sasa inamiliki asilimia 55 ya hisa za benki hiyo na Serikali ikibakiwa na asilimia 30, huku asilimia nyingine 15 za hisa zikimilikiwa na Shirika la Kimataifa la Fedha (IFC) kutoka World Bank Group.

Akizungumza jana katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Simba, Yanga hatarini kufilisiwa

KLABU za Simba, Yanga  zipo kwenye hatari ya kufilisiwa kutokana na kukosa umakini wa kutoa mikataba kwa  makocha na wachezaji wa kigeni.

Hayo yamesemwa na Msimamizi wa Sheria na Wanachama Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Eliud Mvela jana wakati akizungumza na mwandishi wetu ofisini kwake kutokana na kesi nyingi  za klabu hizo zilizopelekwa  katika Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) zinazohusu  ukiukwaji wa makubaliano ya  mikataba. Alisema katika kuwasaidia atapanga siku ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wakwepa kodi sasa kufilisiwa

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya SalumSERIKALI imesoma kwa mara ya pili bungeni, Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi (TAA) wa mwaka 2014, ambapo pamoja na mambo mengine, sheria hiyo itafanya wakwepa kodi kutangazwa kwenye vyombo vya habari.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wagonjwa KCMC hatarini

WAGONJWA wanaotibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC, watumishi na wageni wanaowauguza wagonjwa, afya zao zipo hatarini kutokana na kukumbwa na magonjwa ya mlipuko na maji wanayotumia katika hospitali hiyo...

 

11 years ago

Habarileo

Tembo hatarini kutoweka

TANZANIA inapoteza tembo 39 kila siku kutokana na matukio ya ujangili. Hali hiyo inatishia uwepo wa tembo hao ifikapo mwaka 2026.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba hatarini

KUSUASUA kuanza rasmi kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba kuna hatari ya Bunge hilo kuahirishwa ili kuruhusu Bunge la Muungano kuendelea na vikao vya Bunge la Bajeti, Tanzania Daima...

 

10 years ago

Vijimambo

Afya za Watanzania hatarini

Waziri wa afya, Dr Seif Rashid
Hali afya za wtanzania zipo hatarini kutokana na kasi ya kuingizwa nchini dawa zisizofaa kwa tiba asilia, kutoka nchi kadhaa za bara hususani Korea Kaskazini.

Uchunguzi wa NIPASHE Jumamosi uliofanywa kwa zaidi ya miezi mitano, umebaini kuwa dawa hizo zinaingizwa na kuuzwa nchini pasipo kuwa na maelezo mahususi, huku taarifa nyingine zikithibitisha kuwa zina ujazo wa madini yanayoizidi kiwango kinachotambulika kwa afya za watu.

Chanzo kimojawapo cha gazeti hili...

 

11 years ago

Mwananchi

Dk Kigwangalla hatarini CCM

Mbunge wa Nzega (CCM), Dk Hamis Kigwangalla yuko hatarini kuvuliwa uanachama wa chama hicho, hatua ambayo endapo itachukuliwa itasababisha apoteze nafasi yake ya ubunge.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wenyeji wa Kalahari hatarini

Wenyeji wanaoishi katika mapori ya jangwa la Kalahari wapo hatarini kupoteza utamaduni wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani