Balozi:Kenya ipo hatarini kushambuliwa
Balozi wa Marekani nchini Kenya amesema kuwa uchunguzi wao umebaini Kenya ipo katika hali ya hatari kubwa ya kushambuliwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani:Uganda hatarini kushambuliwa
Ubalozi wa Marekani nchini Uganda, umesema una taarifa za uwezekano wa shambulio la kigaidi nchini humo.
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Serikali ipo hatarini kupoteza hisa NBC
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe amesema iwapo Serikali itashindwa kulipa deni la Sh22.5 bilioni inayodaiwa na kampuni ya Absa Group Limited ya Afrika Kusini hadi kufikia Machi mwakani, itapoteza asilimia 30 ya hisa zake katika Benki ya Biashara ya NBC.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Faru walio hatarini wasalia 3 pekee Kenya
Mmoja wa faru wanne weupe wenye asili ya kaskazini, ambao ndio waliosalia dunia pekee yao ,amefariki dunia 3 waliosalia wako Kenya
5 years ago
MichuziWAZIRI SIMBACHAWENE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA MAREKANI, UMOJA WA ULAYA, ASEMA NCHI IPO SALAMA, UCHAGUZI UTAKUWA HURU NA HAKI
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Marekani, Umoja wa Ulaya (EU), Angola na Kuwait nchini, na kuwahakikishia kuwa Tanzania ipo salama, na pia katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu utakuwa wa huru na haki.
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...
Akizungumza na mabalozi hao waliofika kwa wakati tofauti ofisi ndogo ya Wizara, jijini Dar es Salaam, leo, Simbachawene amesema vyombo vyake vinaendelea kufanya kazi kwa weledi katika kuimarisha usalama wa raia na mali...
10 years ago
Habarileo06 Feb
Haule awa Balozi Kenya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua John Haule kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s72-c/20140407_085729.jpg)
Balozi Mdogo wa Tanzania Dubai akutana na Balozi Mdogo wa Kenya, Dubai
![](http://2.bp.blogspot.com/-MAw_Bwf6YIo/U0OdUR4CYlI/AAAAAAAFZPY/U5CW8TFnCuU/s1600/20140407_085729.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-E_1Klcvq_wY/U0OdLqwejRI/AAAAAAAFZPQ/4gaMfHrYZuY/s1600/20140407_085712.jpg)
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Uingereza yateua balozi mpya Kenya
Bwana Nic Hailey ametangazwa kuwa balozi mpya wa Uingereza nchini Kenya.
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Ubelgiji yahofiwa kushambuliwa
Ubelgiji imesitisha sherehe za kijadi za kuwasha fataki mjini Brussels katika mkesha wa mwaka mpya, kwa hofu ya shambulizi.
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Wageni waendelea kushambuliwa A Kusini
Kumekuwa na mashambulizi zaidi usiku dhidi ya biashara zinazomilikiwa na raia wa kigeni nchini Afrika Kusini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania