Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faru walio hatarini wasalia 3 pekee Kenya

Mmoja wa faru wanne weupe wenye asili ya kaskazini, ambao ndio waliosalia dunia pekee yao ,amefariki dunia 3 waliosalia wako Kenya

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tembo, faru hatarini kutoweka

VITENDO vya ujangili vinavyoendelea kushamiri nchini, vimechangia taifa kukumbwa na hatari ya kutoweka kwa wanyamapori wakiwemo tembo na faru. Kauli hiyo ilitolewa mjini hapa na Profesa Davis Mwamfupe wa Chuo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je, unawatambua watu walio hatarini kuambukizwa virusi vya corona?

Virusi vya corona vinaweza kumuathiri mtu yeyote, lakini watu wenye maradhi fulani pamoja na wazee ni rahisi kupata maambukizi ya ugonjwa huo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mkutano kuhusu Faru weupe Kenya

Mkutano wa kimataifa utakaojadili jinsi ya kukabiliana na biashara haramu ya pembe za wanyama wanaokabiliwa na tishio kubwa la kuangamia unatarajiwa kuanza hii leo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Balozi:Kenya ipo hatarini kushambuliwa

Balozi wa Marekani nchini Kenya amesema kuwa uchunguzi wao umebaini Kenya ipo katika hali ya hatari kubwa ya kushambuliwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Majangili yaua Faru Serengeti

Wizara ya Maliasili na Utalii, imetuma kikosi maalumu cha askari 20, ili kuongeza nguvu ya kuwasaka majangili walioua faru na kuchukua pembe zake, usiku wa kuamkia jana katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walioua faru wasakwa kila kona

WIZARA ya Maliasili na Utalii imetuma kikosi maalumu cha askari 20 kuwasaka majangili walioua faru na kuchukua pembe zake, usiku wa kuamkia jana katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti. Mbali...

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina kizimbani kwa pembe za faru

Raia wanne kutoka China, jana walipandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya kujibu mashtaka matatu ya uhujumu uchumi likiwamo la kukutwa na pembe kumi na moja za faru zenye thamani ya Sh 902.8milioni. 

 

10 years ago

Habarileo

Askari ashinda tuzo ya ulinzi wa faru

ASKARI daraja la pili, Malale Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti ameshinda tuzo ya kila mwaka ya askari bora katika ulinzi wa faru kwa mwaka 2015 Barani Afrika.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa pembe za faru

Raia wanne Wachina wanashikiliwa Kituo cha Polisi Kyela kwa tuhuma za kukutwa na pembe 11 za faru zinazodaiwa kutokea Msumbiji zikiwa na thamani isiyopungua Sh800 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani