Uingereza yateua balozi mpya Kenya
Bwana Nic Hailey ametangazwa kuwa balozi mpya wa Uingereza nchini Kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Liverpool yateua meneja mpya
Liverpool imemteua Jurgen Klopp kuwa meneja wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu.
10 years ago
BBCSwahili31 Jul
Nigeria yateua General mpya
Nigeria imemteua Generali mpya kuongoza kikosi cha kimataifa kilichoundwa kwa ajili ya kupamba na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eqbRlA550Wg/Xos8RFgJn2I/AAAAAAALmM8/nsbs_ayFzmkLc2g9A2lwY1CZfr81Y9w4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Kevin%2BWingfield%2B1.jpg)
Benki ya Stanbic yateua Mkurugenzi Mkuu mpya
![](https://1.bp.blogspot.com/-eqbRlA550Wg/Xos8RFgJn2I/AAAAAAALmM8/nsbs_ayFzmkLc2g9A2lwY1CZfr81Y9w4ACLcBGAsYHQ/s400/Kevin%2BWingfield%2B1.jpg)
Wingfield anachukua nafasi ya Ken Cockerill ambae ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Standard Bank nchini Lesotho.
Safari ya Wingfield ilianza mwaka 1998, katika taasisi ya Standard Bank Group, mpaka sasa ana uzoefu wa zaidi miaka ishirini. Wingfield ameshika nyadhifa mbalimbali ndani ya taasisi hiyo ikiwemo; Mkurugenzi wa maendeleo ya kimkakati kwa wateja, huduma za kibenki za watu binafsi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-MBwn_t5sfF8/VNOLELqLQ6I/AAAAAAAAan4/7A8cutGjFZ8/s72-c/batilda-2.jpg)
JK AMTEUA HAULE BALOZI MPYA KENYA, BATILDA AHAMISHIWA TOKYO JAPAN
![](http://1.bp.blogspot.com/-MBwn_t5sfF8/VNOLELqLQ6I/AAAAAAAAan4/7A8cutGjFZ8/s1600/batilda-2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a8A_vZbflWk/VNOUWnYgUsI/AAAAAAAHCDE/T2NyGN7DtFI/s72-c/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE AMTEUA JOHN HAULE KUWA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI KENYA
Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya, Mhe. John Michael Haule.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue atembelea balozi wa Tanzania Uingereza jijini London
![](http://4.bp.blogspot.com/-xsfNMw00nns/VaRA5S0TFrI/AAAAAAAHpgw/Oo3imtv-UIs/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kmKG1pZqxxQ/VaRA7bIsdXI/AAAAAAAHpg4/SdCEn9K7g3U/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mGBZvsxpJDg/VNyBICgBM1I/AAAAAAAHDS8/M0u6OOn2JtM/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Rais kikwete awaapisha Balozi Mpya wa Tanzania nchini Kenya na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amewaapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya na Naibu Katibu mkuu wa Wizara ya Fedha. Katika hafla hiyo iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Kikwete amemwapisha Bwana John Haule kuwa balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya na Dkt.Hamisi Mwinyimvua ameapishwa kuwa naibu katibu mkuu wa Wizara ya Fedha.
Balozi mpya wa Tanzania nchini Kenya Bwana John Haule akila kiapo mbele ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Balozi mpya...
![](http://4.bp.blogspot.com/-mGBZvsxpJDg/VNyBICgBM1I/AAAAAAAHDS8/M0u6OOn2JtM/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t2VdG98Hufo/VNyBIP7OwkI/AAAAAAAHDS4/pPpYbzj9sA8/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQIpha_l4mE/VA9LaUXpTzI/AAAAAAAGiSY/Uuz7cxvcCv4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania