Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yateua meneja mpya

Liverpool imemteua Jurgen Klopp kuwa meneja wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Liverpool yamteua Jurgen Klopp kuwa meneja mpya

Klabu ya Liverpool imemteua Jurgen Klopp kuwa meneja wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu. Klopp ambaye ni raia wa Ujerumani ana miaka 48 anachukua nafasi ya Brendan Rodgers aliyetimuliwa hivi karibuni baada ya kuhudumu katika klabu hiyo kwa miaka mitatu na nusu. Klopp anatarajiwa kuanza kazi katika klabu hiyo ya Liverpool akiwa na wasaidizi […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yateua General mpya

Nigeria imemteua Generali mpya kuongoza kikosi cha kimataifa kilichoundwa kwa ajili ya kupamba na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yateua balozi mpya Kenya

Bwana Nic Hailey ametangazwa kuwa balozi mpya wa Uingereza nchini Kenya.

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Stanbic yateua Mkurugenzi Mkuu mpya

Benki ya Stanbic Tanzania imemteua Kevin Wingfield kuwa Mkurugenzi Mkuu kuanzia tarehe 01 Aprili 2020.

Wingfield anachukua nafasi ya Ken Cockerill ambae ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Standard Bank nchini Lesotho.

Safari ya Wingfield ilianza mwaka 1998, katika taasisi ya Standard Bank Group, mpaka sasa ana uzoefu wa zaidi miaka ishirini. Wingfield ameshika nyadhifa mbalimbali ndani ya taasisi hiyo ikiwemo; Mkurugenzi wa maendeleo ya kimkakati kwa wateja, huduma za kibenki za watu binafsi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hiddink ateuliwa meneja mpya Chelsea

Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kaimu meneja wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.

 

9 years ago

Vijimambo

EMIRATES TANZANIA YAPATA MENEJA MPYA

Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati alipokuwa akijitambulisha, Dar es Salaam jana. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akifafanua jambo kwa waandishi wa habari, alipozungumza nao, kuhusu mafanikio na matarajio ya shirika, wakati akijitambulisha, Dar es Salaam.


Na Mwandishi WetuSHIRIKA la Ndege la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Van Gaal meneja mpya wa Man United

Louis van Gaal ndiye meneja mpya wa Manchester United

 

9 years ago

Dewji Blog

Emirates yamtambulisha Meneja wake mpya wa Tanzania

Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati alipokuwa akijitambulisha, Dar es Salaam jana. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)

Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akizungumza na waandishi wa habari (kushoto), wakati alipokuwa akijitambulisha, Dar es Salaam jana.  

Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi...

 

11 years ago

GPL

MENEJA MPYA WA JOHANNESBURG HOTEL AFANYIWA SHEREHE YA KUMKARIBISHA

Meneja mpya Edson Chita Nyondo akiongea jambo katika hafla hiyo.
Mmoja wa waratibu wa hotel hiyo (kushoto), Zabron akiwa na meneja mpya.
Mmoja wa wafanyakazi wa hoteli hiyo akikata keki.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani