Nigeria yateua General mpya
Nigeria imemteua Generali mpya kuongoza kikosi cha kimataifa kilichoundwa kwa ajili ya kupamba na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Liverpool yateua meneja mpya
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Uingereza yateua balozi mpya Kenya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-eqbRlA550Wg/Xos8RFgJn2I/AAAAAAALmM8/nsbs_ayFzmkLc2g9A2lwY1CZfr81Y9w4ACLcBGAsYHQ/s72-c/Kevin%2BWingfield%2B1.jpg)
Benki ya Stanbic yateua Mkurugenzi Mkuu mpya
![](https://1.bp.blogspot.com/-eqbRlA550Wg/Xos8RFgJn2I/AAAAAAALmM8/nsbs_ayFzmkLc2g9A2lwY1CZfr81Y9w4ACLcBGAsYHQ/s400/Kevin%2BWingfield%2B1.jpg)
Wingfield anachukua nafasi ya Ken Cockerill ambae ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Standard Bank nchini Lesotho.
Safari ya Wingfield ilianza mwaka 1998, katika taasisi ya Standard Bank Group, mpaka sasa ana uzoefu wa zaidi miaka ishirini. Wingfield ameshika nyadhifa mbalimbali ndani ya taasisi hiyo ikiwemo; Mkurugenzi wa maendeleo ya kimkakati kwa wateja, huduma za kibenki za watu binafsi...
9 years ago
BBC16 Oct
Nigeria general jailed over defeat
9 years ago
AllAfrica.Com21 Sep
Church Invites General Public to Hold Prayers Prior to General Election
AllAfrica.com
The public has been invited to participate in praying for the nation prior to the forthcoming general election in October. In a press conference yesterday in Dar es Salaam, Moravian Church in Tanzania, Eastern Province-Uhuru Congregation Senior Pastor ...
9 years ago
Michuzi17 Sep
EAC SECRETARY GENERAL SENDS CONDOLENCE MESSAGE TO PRESIDENT MUSEVENI ON THE TRAGIC AND UNTIMELY DEATH OF GENERAL ARONDA NYAKAIRIMA
East African Community
The Secretary General of the East African Community, Amb. Dr. Richard Sezibera has sent a message of condolence to His Execellency President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda on the tragic and untimely death of the former Chief of Defence Forces and Minister for Internal Affairs of the Republic of Uganda, the late General Aronda Nyakairima.
In a message dispatched today, the Secretary General, on behalf of the East African Community mourns the passing of “a great son of...
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Serikali yateua 10 kusuluhisha Kiteto
11 years ago
Mwananchi26 Feb
FAT ah! TFF yateua Taifa Stars
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni
Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi...