Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria yateua General mpya

Nigeria imemteua Generali mpya kuongoza kikosi cha kimataifa kilichoundwa kwa ajili ya kupamba na kundi la wanamgambo wa Boko Haram.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Liverpool yateua meneja mpya

Liverpool imemteua Jurgen Klopp kuwa meneja wake mpya kwa mkataba wa miaka mitatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uingereza yateua balozi mpya Kenya

Bwana Nic Hailey ametangazwa kuwa balozi mpya wa Uingereza nchini Kenya.

 

5 years ago

Michuzi

Benki ya Stanbic yateua Mkurugenzi Mkuu mpya

Benki ya Stanbic Tanzania imemteua Kevin Wingfield kuwa Mkurugenzi Mkuu kuanzia tarehe 01 Aprili 2020.

Wingfield anachukua nafasi ya Ken Cockerill ambae ameteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Standard Bank nchini Lesotho.

Safari ya Wingfield ilianza mwaka 1998, katika taasisi ya Standard Bank Group, mpaka sasa ana uzoefu wa zaidi miaka ishirini. Wingfield ameshika nyadhifa mbalimbali ndani ya taasisi hiyo ikiwemo; Mkurugenzi wa maendeleo ya kimkakati kwa wateja, huduma za kibenki za watu binafsi...

 

9 years ago

BBC

Nigeria general jailed over defeat

A military court in Nigeria sentences a general to six months in jail for his involvement in one of the army's worst defeats by Boko Haram militants.

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Church Invites General Public to Hold Prayers Prior to General Election


Church Invites General Public to Hold Prayers Prior to General Election
AllAfrica.com
The public has been invited to participate in praying for the nation prior to the forthcoming general election in October. In a press conference yesterday in Dar es Salaam, Moravian Church in Tanzania, Eastern Province-Uhuru Congregation Senior Pastor ...

 

9 years ago

Michuzi

EAC SECRETARY GENERAL SENDS CONDOLENCE MESSAGE TO PRESIDENT MUSEVENI ON THE TRAGIC AND UNTIMELY DEATH OF GENERAL ARONDA NYAKAIRIMA


East African Community
The Secretary General of the East African Community, Amb. Dr. Richard Sezibera has sent a message of condolence to His Execellency President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda on the tragic and untimely death of the former Chief of Defence Forces and Minister for Internal Affairs of the Republic of Uganda, the late General Aronda Nyakairima.
In a message dispatched today, the Secretary General, on behalf of the East African Community mourns the passing of “a great son of...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yateua 10 kusuluhisha Kiteto

Serikali imeunda timu ya watu 10 kutoka kada tofauti wakiwamo viongozi wa dini ambao watapewa jukumu la kufanya kazi ya usuluhishi kwenye vijiji vyenye migogoro baina ya wafugaji na wakulima wilayani Kiteto mkoani Manyara.

 

11 years ago

Mwananchi

FAT ah! TFF yateua Taifa Stars

>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limerudi enzi zake lilipokuwa linaitwa Chama cha Soka (FAT) kwa kuteua kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’ bila kumshirikisha Kocha Mkuu, Kim Poulsen.

 

9 years ago

Mtanzania

Chadema yateua Meya Manispaa ya Kinondoni

Pg 2Veronica Romwald na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkoa wa Konondoni, kimempitisha Diwani mteule wa Ubungo, Boniface Jacob (Chadema), kuwa mgombea umeya wa Manispaa ya Kinondoni, huku akiwakilisha mwamvuli wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Mgombea huyo alikuwa akiwania nafasi hiyo huku akipambana na diwani mwenzake mteule wa Kata ya Mbweni, Abdunel Elibariki (Chadema) ambaye alishindwa kutamba.

Akitangaza matokeo ya uchaguzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani