Emirates yamtambulisha Meneja wake mpya wa Tanzania
Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), wakati alipokuwa akijitambulisha, Dar es Salaam jana. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
![](http://2.bp.blogspot.com/-N273KPAJgLg/VgqbSBdIJOI/AAAAAAABeBY/jE610qFbaaA/s640/IMG_0323%2B01.jpg)
Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi akizungumza na waandishi wa habari (kushoto), wakati alipokuwa akijitambulisha, Dar es Salaam jana.
![](http://1.bp.blogspot.com/-SCuOSU4bBmo/VgqbSIcFO3I/AAAAAAABeBU/Vuf6xH4ju1c/s640/IMG_0370%2B02.jpg)
Meneja mpya wa Shirika la ndege la Emirates nchini Tanzania, Husain Alsafi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-l72_oSwiq7Q/VgqbRgiupgI/AAAAAAABeBQ/o-DVv8ffd38/s72-c/IMG_0322%2B00.jpg)
EMIRATES TANZANIA YAPATA MENEJA MPYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-l72_oSwiq7Q/VgqbRgiupgI/AAAAAAABeBQ/o-DVv8ffd38/s640/IMG_0322%2B00.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lCnM-IXZhEk/Vgqbz6g4XcI/AAAAAAABeBo/QeHn-UxIVxY/s640/Emirates-1.jpg)
Na Mwandishi WetuSHIRIKA la Ndege la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp23vUsYQkWG-avdNbM4rml4kZvOheAfyP8aZXiqCVY79V1R2Py3gDaeJHb8vyxSLlePT0mmFFdP-16muMWnOJd-w/madaha.jpg?width=650)
BABY MADAHA AMWAGANA NA MENEJA WAKE
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Usher afunga ndoa na meneja wake
NEW YORK, MAREKANI
MKALI wa RnB nchini Marekani, Usher Raymond, amefanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake, Grace Miguel.
Grace ni Meneja wa msanii huyo, ambapo walianza uhusiano wa kimapenzi tangu mwaka 2009 baada ya msanii huyu kubwagana na mpenzi wake, Tameka Foster, mwaka huo.
Tameka alifanikiwa kupata watoto wawili wa kiume na msanii huyo ambao wanajulikana kwa majina ya Usher V na Naviyd Ely.
“Alikuwa meneja wangu kwa kipindi kirefu, lakini kwa sasa naweza kusema kuwa ni mke wangu,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhmR4Yx33XMyeWO4Wct0At-deFiP9mhsDI1uBBer8enI5WCdpMIMPZrkgyQoDkFKLrLFGn5tHMhq-ugI7lH7CDUA/madaha3.jpg?width=650)
MADAHA AKOMALIA NDOA NA MENEJA WAKE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-1vLwRrZYY9y-v0Viwmt6dgHWVzbgLoGCPnHceY2qdUvSauq5TLHj*yHH*3c-wt8JuVO4PNH3W5-XOLDaO7gcVZ/baby.jpg?width=650)
BABY MADAHA AKOLEZWA NA PENZI LA MENEJA WAKE
10 years ago
Bongo Movies01 Oct
Gari Aina la BMW Alilopewa Kama Zawadi na Maneja Wake Martin Kadinda Lazua Maneno. Watu wahoji uwezo wa meneja wake huyo kumnunulia gari hilo huku ye akiendesha gari ''isiyoeleweka''.
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao
NYUMBANI KWA MADAM
Pati hiyo ambayo iliandika historia katika ulimwengu maridhawa wa mastaa iliangushwa nyumbani kwa mwanadada huyo, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar, wikiendi iliyopita ambapo alitimiza umri wa miaka 26.
Katika shughuli...
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Liverpool yateua meneja mpya
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Hiddink ateuliwa meneja mpya Chelsea
10 years ago
Bongo524 Jan
H.Baba: Mwanangu Tanzanite ana meneja wake na ‘soon’ ataanza kufanya matangazo