Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani:Uganda hatarini kushambuliwa

Ubalozi wa Marekani nchini Uganda, umesema una taarifa za uwezekano wa shambulio la kigaidi nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Balozi:Kenya ipo hatarini kushambuliwa

Balozi wa Marekani nchini Kenya amesema kuwa uchunguzi wao umebaini Kenya ipo katika hali ya hatari kubwa ya kushambuliwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watembea kwa miguu hatarini Uganda

Watembea kwa miguu jijini Kampala nchini Uganda wako hatarini kupata ajali kutokana na changamoto ya Barabara

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea vikwazo Uganda

Marekani yaiwekea uganda vikwazo kufuatia sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msaada wa Marekani kwa Uganda

John Kerry asema uidhinishaji wa sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja Uganda unakiuka haki za binaadamu.

 

11 years ago

Mwananchi

Vikosi vya Marekani vyawasili Uganda kumsaka Kony

Vikosi vya Marekani kwa ajili ya kumkabili kiongozi wa kundi la Lord Resistance Army (LRA) Joseph Kony vimewasili nchini Uganda huku vikiwa na vifaa vya kisasa zikiwamo ndege zenye uwezo wa kujaza mafuta angani.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Eddy Kenzo akutana na Van Damme Marekani, asema atampeleka Uganda soon

Mwimbaji wa wa Uganda, Eddy Kenzo ambaye yuko kwenye ziara ya muziki nchini Marekani, amekutana na star wa movie Jean-Claude Van Damme. Eddy Kenzo akiwa na Van Damme Star huyo wa ‘Sitya Loss’ amepost picha akiwa na muigizaji huyo mkongwe na kumshukuru kwa kukutana naye, na kuongeza kuwa atampeleka Uganda soon. “Thank you for everything […]

 

11 years ago

Bongo5

Ndege iliyobeba wanajeshi wa Marekani yalazimika kutua kwa dharura barabarani Uganda

Ikiwa hata saa 24 hazijatimia toka taarifa ya kuanguka kwa ndege nyingine ya Malaysia jana huko Ukraine, ndege nyingine ndogo imelazimika kutua kwa dharura barabarani leo (July 18) nchini Uganda. Ndege hiyo aina ya N604AR, iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa Marekani, ilitua katika eneo la Kiwawu umbali wa kilomita 22 kutoka wilaya ya Mityana na kuathiri […]

 

9 years ago

BBCSwahili

Ubelgiji yahofiwa kushambuliwa

Ubelgiji imesitisha sherehe za kijadi za kuwasha fataki mjini Brussels katika mkesha wa mwaka mpya, kwa hofu ya shambulizi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wauawa kwa kushambuliwa na kombora

Wizara ya afya katika ukanda wa Gaza imeeleza kuwa watu wapatao kumi wameuawa kutokana na shambulizi la makombora.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani