Marekani:Uganda hatarini kushambuliwa
Ubalozi wa Marekani nchini Uganda, umesema una taarifa za uwezekano wa shambulio la kigaidi nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 May
Balozi:Kenya ipo hatarini kushambuliwa
Balozi wa Marekani nchini Kenya amesema kuwa uchunguzi wao umebaini Kenya ipo katika hali ya hatari kubwa ya kushambuliwa.
9 years ago
BBCSwahili03 Sep
Watembea kwa miguu hatarini Uganda
Watembea kwa miguu jijini Kampala nchini Uganda wako hatarini kupata ajali kutokana na changamoto ya Barabara
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Marekani yaiwekea vikwazo Uganda
Marekani yaiwekea uganda vikwazo kufuatia sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.
11 years ago
BBCSwahili25 Feb
Msaada wa Marekani kwa Uganda
John Kerry asema uidhinishaji wa sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja Uganda unakiuka haki za binaadamu.
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Vikosi vya Marekani vyawasili Uganda kumsaka Kony
Vikosi vya Marekani kwa ajili ya kumkabili kiongozi wa kundi la Lord Resistance Army (LRA) Joseph Kony vimewasili nchini Uganda huku vikiwa na vifaa vya kisasa zikiwamo ndege zenye uwezo wa kujaza mafuta angani.
9 years ago
Bongo528 Sep
Picha: Eddy Kenzo akutana na Van Damme Marekani, asema atampeleka Uganda soon
Mwimbaji wa wa Uganda, Eddy Kenzo ambaye yuko kwenye ziara ya muziki nchini Marekani, amekutana na star wa movie Jean-Claude Van Damme. Eddy Kenzo akiwa na Van Damme Star huyo wa ‘Sitya Loss’ amepost picha akiwa na muigizaji huyo mkongwe na kumshukuru kwa kukutana naye, na kuongeza kuwa atampeleka Uganda soon. “Thank you for everything […]
11 years ago
Bongo518 Jul
Ndege iliyobeba wanajeshi wa Marekani yalazimika kutua kwa dharura barabarani Uganda
Ikiwa hata saa 24 hazijatimia toka taarifa ya kuanguka kwa ndege nyingine ya Malaysia jana huko Ukraine, ndege nyingine ndogo imelazimika kutua kwa dharura barabarani leo (July 18) nchini Uganda. Ndege hiyo aina ya N604AR, iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa Marekani, ilitua katika eneo la Kiwawu umbali wa kilomita 22 kutoka wilaya ya Mityana na kuathiri […]
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
Ubelgiji yahofiwa kushambuliwa
Ubelgiji imesitisha sherehe za kijadi za kuwasha fataki mjini Brussels katika mkesha wa mwaka mpya, kwa hofu ya shambulizi.
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Wauawa kwa kushambuliwa na kombora
Wizara ya afya katika ukanda wa Gaza imeeleza kuwa watu wapatao kumi wameuawa kutokana na shambulizi la makombora.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania