Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msaada wa Marekani kwa Uganda

John Kerry asema uidhinishaji wa sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja Uganda unakiuka haki za binaadamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JK apokea vitabu vya sayansi kwa shule za Sekondari vilivyochapishwa kwa msaada wa watu wa marekani

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe Paul Makonda baada ya kuwasili katika Shule ya Sekondari ya Mtakuja huko Kunduchi jijini Dar e salaam leo tayari kwa kukagua ujenzi wa maabara na pia kupokea na kugawa vitabu vya sayansi vilivyochapishwa  na Watu wa Marekani. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua maabara katika Shule ya Sekondari ya Mtakuja huko Kunduchi jijini Dar e salaam ambako  pia alipokea na kugawa vitabu vya sayansi vilivyochapishwa  na Watu...

 

11 years ago

Bongo5

Ndege iliyobeba wanajeshi wa Marekani yalazimika kutua kwa dharura barabarani Uganda

Ikiwa hata saa 24 hazijatimia toka taarifa ya kuanguka kwa ndege nyingine ya Malaysia jana huko Ukraine, ndege nyingine ndogo imelazimika kutua kwa dharura barabarani leo (July 18) nchini Uganda. Ndege hiyo aina ya N604AR, iliyokuwa imewabeba wanajeshi wa Marekani, ilitua katika eneo la Kiwawu umbali wa kilomita 22 kutoka wilaya ya Mityana na kuathiri […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafadhili warejesha msaada Uganda

Wafadhili wameridhika na kazi ya serikali mnamo mwaka wa fedha 2012/13, baada ya uhakiki wa kila mwaka kuhusu matendo ya serikali.

 

11 years ago

Mwananchi

Norway yaifutia Uganda msaada

Kampala.Serikali ya Norway imesitisha msaada wa kiasi cha Sh 20 bilioni  kwa Uganda baada ya Serikali ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kusaini muswada wa sheria dhidi ya   ndoa za jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

WFP kupunguza msaada wa chakula Uganda

Shirika la chakula duniani WFP limetangaza kuwa litapunguza kwa nusu kiwango chake cha msaada wa chakula nchini Uganda

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea vikwazo Uganda

Marekani yaiwekea uganda vikwazo kufuatia sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani:Uganda hatarini kushambuliwa

Ubalozi wa Marekani nchini Uganda, umesema una taarifa za uwezekano wa shambulio la kigaidi nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hofu ya TZ kunyimwa msaada na Marekani

Serikali ya TZ iko hatarini kukosa dola za Marekani milioni mia saba sawa na trilioni 1.1 kwa fedha za TZ kwa ajili kufadhili miradi ya Milenia (MCC) kutokana na kushamiri kwa vitendo vya rushwa nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani