Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafadhili warejesha msaada Uganda

Wafadhili wameridhika na kazi ya serikali mnamo mwaka wa fedha 2012/13, baada ya uhakiki wa kila mwaka kuhusu matendo ya serikali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wafadhili wakatiza misaada Uganda

Wafadhili wameanza kukata misaada Uganda baada ya Rais Yoweri Museveni kuutia sahihi muswada dhidi ya mapenzi ya jinsi moja .

 

11 years ago

Mwananchi

Norway yaifutia Uganda msaada

Kampala.Serikali ya Norway imesitisha msaada wa kiasi cha Sh 20 bilioni  kwa Uganda baada ya Serikali ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki kusaini muswada wa sheria dhidi ya   ndoa za jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msaada wa Marekani kwa Uganda

John Kerry asema uidhinishaji wa sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja Uganda unakiuka haki za binaadamu.

 

10 years ago

BBCSwahili

WFP kupunguza msaada wa chakula Uganda

Shirika la chakula duniani WFP limetangaza kuwa litapunguza kwa nusu kiwango chake cha msaada wa chakula nchini Uganda

 

10 years ago

Habarileo

Warejesha fomu watema cheche

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati), akizungumza na wana CCM baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), mjini Dodoma jana. Katika mazungumzo yake alijibu pia maswali kuhusu fedha kutoka Libya. Kulia ni mke wake Dorcas Membe na (kushoto) ni Kada wa CCM, Kapteni mstaafu Alhaj Mohamed Ligola. (Na Mpigapicha Wetu).MAKADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamerejesha fomu na kufafanua mambo kadhaa ambayo yamekuwa yanazungumzwa juu yao kama njia ya kujiweka sawa kabla ya uteuzi kufanywa na vikao vikuu vya chama hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Mtangani warejesha shule wanafunzi 63

SHULE ya Mtangani iliyopo jimbo la Kiwani mkoa wa Kaskazini Pemba imefanikiwa kuwarudisha wanafunzi 63 walioacha shule na kujiunga na ajira mbaya za watoto katika kipindi cha miaka miwili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba warejesha ushirikiano

Maafisa wa marekani wanasema Marekani na Cuba imefikia makubaliano ya kufungua upya ubalozi mjini Washington na Havana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia warejesha kwao

Shirika la UNHCR na serikali ya Kenya zimeanza kuwarejesha wakimbizi wa Somalia kwa ndege kufuatia makubaliano kati yao

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani