Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warejesha fomu watema cheche

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati), akizungumza na wana CCM baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), mjini Dodoma jana. Katika mazungumzo yake alijibu pia maswali kuhusu fedha kutoka Libya. Kulia ni mke wake Dorcas Membe na (kushoto) ni Kada wa CCM, Kapteni mstaafu Alhaj Mohamed Ligola. (Na Mpigapicha Wetu).MAKADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamerejesha fomu na kufafanua mambo kadhaa ambayo yamekuwa yanazungumzwa juu yao kama njia ya kujiweka sawa kabla ya uteuzi kufanywa na vikao vikuu vya chama hicho.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waliokwama tano bora watema cheche

Aliyekuwa anawania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama hicho, Profesa Mark Mwandosya amesema atamuunga mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa.

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: WANABODABODA RWAMISHENYE FC WATEMA CHECHE TENA, WAIFUNGA TIMU YA NSHAMBYA BAO 4-0. KHALID SELEMAN AFUNGA HAT-TRICK!

Wachezaji timu zote mbili wakisalimiana Rwamishenye FC vs Nshambya FC
Na Faustine Ruta, BukobaTIMU ya Rwamishenye Fc leo imeifunga Nshambya mabao 4-0 kwenye mchezo wao wa pili LIGI YA KAGASHEKI. Mtanange wao wa kwanza wa Ufunguzi wa Hii Ligi waliwanyuka bao 3-1 Mabingwa watetezi Bilele Fc 3-1.Rwamishenye waliokuwa wanapewa nafasi kubwa ya kushinda kutokana na makeke ya wachezaji wake ilijikuta Mchezaji wake Hatari Khalid Seleman akifunga bao zote Nne. 
Kipindi cha kwanza Khalid Seleman...

 

11 years ago

Mwananchi

Wagombea wanne warejesha fomu za uchaguzi Kalenga

Wagombea wanne wa Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Vyama vya CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi na Causta jana wamerejesha fomu za kuwania kiti cha ubunge wa jimbo hilo baada ya kukamilisha taratibu za kujaza fomu, huku wale wa CCM na Chadema wakitoa ujumbe mzito wa kuwataka wafuasi wa vyama vyao kutojihusisha na vurugu wakati wa kampeni.

 

10 years ago

Michuzi

LOWASSA ARUDISHA FOMU LEO MJINI DODOMA, ATEMA CHECHE KWA WANAOMTUHUMU




WAZIRI Mkuu Mstafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa, amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.

 Mh. Lowassa ambaye alikuwa amesindikizwa na Wenyeviti wa CCM wa mikoa 12 kutoka bara na visiwani, aliwasili makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma majira ya saa 8:30 mchana wa leo Julai 1, 2015, na kupokewa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Rajabu...

 

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI TASWA: 27 WAREJESHA FOMU UCHAGUZI TASWA

Waombaji 27 kati ya 28 wamerejesha fomu kuomba kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi wa Kamati mpya ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) utakaofanyika Machi 2, 2014 jijini Dar es Salaam.
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo ilikuwa leo Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Waliorejesha kwa nafasi ya ujumbe ni Aron Benedict Mpanduka, Elizabeth Rashid Mayemba, Emmanuel Augustino Muga, Hassan Maulid Bumbuli, Ibrahim Mkomwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wa Somalia warejesha kwao

Shirika la UNHCR na serikali ya Kenya zimeanza kuwarejesha wakimbizi wa Somalia kwa ndege kufuatia makubaliano kati yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani na Cuba warejesha ushirikiano

Maafisa wa marekani wanasema Marekani na Cuba imefikia makubaliano ya kufungua upya ubalozi mjini Washington na Havana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wafadhili warejesha msaada Uganda

Wafadhili wameridhika na kazi ya serikali mnamo mwaka wa fedha 2012/13, baada ya uhakiki wa kila mwaka kuhusu matendo ya serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani