Warejesha fomu watema cheche
MAKADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamerejesha fomu na kufafanua mambo kadhaa ambayo yamekuwa yanazungumzwa juu yao kama njia ya kujiweka sawa kabla ya uteuzi kufanywa na vikao vikuu vya chama hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Waliokwama tano bora watema cheche
Aliyekuwa anawania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama hicho, Profesa Mark Mwandosya amesema atamuunga mkono mgombea yeyote atakayeteuliwa.
11 years ago
Michuzi02 Jul
KAGASHEKI CUP 2014: WANABODABODA RWAMISHENYE FC WATEMA CHECHE TENA, WAIFUNGA TIMU YA NSHAMBYA BAO 4-0. KHALID SELEMAN AFUNGA HAT-TRICK!
Na Faustine Ruta, BukobaTIMU ya Rwamishenye Fc leo imeifunga Nshambya mabao 4-0 kwenye mchezo wao wa pili LIGI YA KAGASHEKI. Mtanange wao wa kwanza wa Ufunguzi wa Hii Ligi waliwanyuka bao 3-1 Mabingwa watetezi Bilele Fc 3-1.Rwamishenye waliokuwa wanapewa nafasi kubwa ya kushinda kutokana na makeke ya wachezaji wake ilijikuta Mchezaji wake Hatari Khalid Seleman akifunga bao zote Nne.
Kipindi cha kwanza Khalid Seleman...
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Wagombea wanne warejesha fomu za uchaguzi Kalenga
Wagombea wanne wa Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia Vyama vya CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi na Causta jana wamerejesha fomu za kuwania kiti cha ubunge wa jimbo hilo baada ya kukamilisha taratibu za kujaza fomu, huku wale wa CCM na Chadema wakitoa ujumbe mzito wa kuwataka wafuasi wa vyama vyao kutojihusisha na vurugu wakati wa kampeni.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/FXkFLUV2MHg/default.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU LEO MJINI DODOMA, ATEMA CHECHE KWA WANAOMTUHUMU
WAZIRI Mkuu Mstafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa, amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Mh. Lowassa ambaye alikuwa amesindikizwa na Wenyeviti wa CCM wa mikoa 12 kutoka bara na visiwani, aliwasili makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma majira ya saa 8:30 mchana wa leo Julai 1, 2015, na kupokewa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Rajabu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI TASWA: 27 WAREJESHA FOMU UCHAGUZI TASWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_xmsjyUCvY/Uw9Y-dgDSvI/AAAAAAAFQCc/AP1Cxx5fYD4/s1600/TASWALOGO.jpg)
Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu hizo ilikuwa leo Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Waliorejesha kwa nafasi ya ujumbe ni Aron Benedict Mpanduka, Elizabeth Rashid Mayemba, Emmanuel Augustino Muga, Hassan Maulid Bumbuli, Ibrahim Mkomwa...
10 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wakimbizi wa Somalia warejesha kwao
Shirika la UNHCR na serikali ya Kenya zimeanza kuwarejesha wakimbizi wa Somalia kwa ndege kufuatia makubaliano kati yao
10 years ago
BBCSwahili01 Jul
Marekani na Cuba warejesha ushirikiano
Maafisa wa marekani wanasema Marekani na Cuba imefikia makubaliano ya kufungua upya ubalozi mjini Washington na Havana.
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Wafadhili warejesha msaada Uganda
Wafadhili wameridhika na kazi ya serikali mnamo mwaka wa fedha 2012/13, baada ya uhakiki wa kila mwaka kuhusu matendo ya serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania