Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yaiwekea vikwazo Uganda

Marekani yaiwekea uganda vikwazo kufuatia sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea Urusi vikwazo zaidi

Marekani yaiadhibu Urusi kwa vikwazo zaidi vya kiuchumi kutokana na kuhusika kwa Urusi katika mzozo wa Ukraine.

 

9 years ago

Mtanzania

Saudia yaiwekea vikwazo kampuni ya kina osama

MFALME Salman wa Saudi Arabia ameiwekea vikwazo kampuni yenye ushawishi mkubwa nchini humo ya Binladen Group.

Kampuni hiyo inamilikiwa na familia ya kiongozi wa zamani wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda, Osama bin Laden. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kuanguka kwa winchi katika msikiti mkubwa mjini Mecca, iliyowaua watu 107 na kujeruhi wengine karibu 400 siku chache kabla ya ibada ya hija.

Kamati ya Uchunguzi imeona kuwa kampuni hiyo imebeba dhamana kwa janga hilo lililotokea Ijumaa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yasema haitishwi na vikwazo

Uganda imesema haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kwa kupitisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja ikisema havina athari kubwa kwa nchi hiyo

 

10 years ago

BBCSwahili

Cuba kuondolewa vikwazo na Marekani?

Rais wa Cuba, Raul Castro, amemhimiza rais Obama wa Marekani kutumia mamlaka yake ya urais kuondoa vikwazo vya kiuchumi

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiondolea Liberia vikwazo

Marekani imeiondolea Liberia vikwazo vya kiuchumi ilivyowekewa mwaka 2003, huku Marekani ikiisifu nchi hiyo kwa kustawisha demokrasia.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yailegezea Cuba vikwazo

Rais wa Marekani Barack Obama amezungumza na rais wa Cuba Raul Castro muda mfupi baada ya marekani kulegeza vikwazo

 

10 years ago

BBCSwahili

Maduro aitaka Marekani kuondoa vikwazo

Rais Nicholas Maduro wa Venezuela anampelekea barua rais Obama kumtaka awaondolee vikwazo maafisa wa nchi yake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaonya Urusi kuhusu vikwazo

Waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry ameitaka Urusi kupunguza ukali wa matamshi yake la sivyo iwekewe vikwazo zaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani kuwekea vikwazo wakuu wanne Burundi

Marekani imesema itawawekea vikwazo maafisa wakuu wanne wa sasa na wa zamani Burundi kuhusiana na machafuko ambayo yamekuwa yakiendelea nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani