Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uganda yasema haitishwi na vikwazo

Uganda imesema haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kwa kupitisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja ikisema havina athari kubwa kwa nchi hiyo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea vikwazo Uganda

Marekani yaiwekea uganda vikwazo kufuatia sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tanzania haitishwi majirani kujitenga’

Serikali imesema kuwa hatua iliyoanzishwa na nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ambayo imeruhusu raia wake kusafari ndani ya nchi hizo kwa kutumia vitambulisho vya taifa badala ya hati ya kusafiria kuwa siyo tishio.

 

9 years ago

Habarileo

CCM haitishwi na wingi wa wagombea

CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema hakitishwi wala kubabaishwa na wingi wa wagombea wa vyama vya siasa wanaojitokeza kuchukua fomu za urais wa Zanzibar kwani hiyo ndiyo demokrasia ya mfumo wa vyama vingi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?

Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara walia na vikwazo

Baadhi ya wafanyabiashara wamesema vikwazo vya ndani vya kufanya biashara vinawakatisha tamaa ya kuchangamkia masoko kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yawekewa vikwazo

Canada imetangaza vikwazo dhidi ya Urusi kwa kile kinachodaiwa kupinga mashambulizi dhidi ya Ukraine.

 

11 years ago

BBCSwahili

Francois Bozize kuwekewa vikwazo

Wajumbe katika umoja wa mataifa wanasema kuwa wamekubaliana kumuwekea vikwazo aliyekuwa rais wa jamhuri ya afrika ya kati.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yailegezea Cuba vikwazo

Rais wa Marekani Barack Obama amezungumza na rais wa Cuba Raul Castro muda mfupi baada ya marekani kulegeza vikwazo

 

10 years ago

BBCSwahili

G7 yatishia kuiongezea Urusi vikwazo

Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema mataifa ya G7 yalikuwa tayari kuzidishia Urusi vikwazo zaidi, iwapo haitaheshimu makubaliano ya Ukraine

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani