Uganda yasema haitishwi na vikwazo
Uganda imesema haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kwa kupitisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja ikisema havina athari kubwa kwa nchi hiyo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Marekani yaiwekea vikwazo Uganda
Marekani yaiwekea uganda vikwazo kufuatia sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.
11 years ago
Mwananchi08 Jan
‘Tanzania haitishwi majirani kujitenga’
Serikali imesema kuwa hatua iliyoanzishwa na nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ambayo imeruhusu raia wake kusafari ndani ya nchi hizo kwa kutumia vitambulisho vya taifa badala ya hati ya kusafiria kuwa siyo tishio.
9 years ago
Habarileo02 Sep
CCM haitishwi na wingi wa wagombea
CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema hakitishwi wala kubabaishwa na wingi wa wagombea wa vyama vya siasa wanaojitokeza kuchukua fomu za urais wa Zanzibar kwani hiyo ndiyo demokrasia ya mfumo wa vyama vingi.
5 years ago
BBCSwahili17 Jun
Uchaguzi Uganda 2021: Je ni kweli kampeni za kutumia redio zitaufungia upinzani Uganda?
Kupigwa marufuku kwa mikutano ya kampeni nchini Uganda wakati taifa hilo likielekea kufanya uchaguzi mkuu mwezi Januari 2021 kunaweza kunufaisha chama tawala zaidi kuliko upande wa upinzani.
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wafanyabiashara walia na vikwazo
Baadhi ya wafanyabiashara wamesema vikwazo vya ndani vya kufanya biashara vinawakatisha tamaa ya kuchangamkia masoko kwenye nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Urusi yawekewa vikwazo
Canada imetangaza vikwazo dhidi ya Urusi kwa kile kinachodaiwa kupinga mashambulizi dhidi ya Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili10 May
Francois Bozize kuwekewa vikwazo
Wajumbe katika umoja wa mataifa wanasema kuwa wamekubaliana kumuwekea vikwazo aliyekuwa rais wa jamhuri ya afrika ya kati.
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Marekani yailegezea Cuba vikwazo
Rais wa Marekani Barack Obama amezungumza na rais wa Cuba Raul Castro muda mfupi baada ya marekani kulegeza vikwazo
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
G7 yatishia kuiongezea Urusi vikwazo
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema mataifa ya G7 yalikuwa tayari kuzidishia Urusi vikwazo zaidi, iwapo haitaheshimu makubaliano ya Ukraine
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania