Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM haitishwi na wingi wa wagombea

CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema hakitishwi wala kubabaishwa na wingi wa wagombea wa vyama vya siasa wanaojitokeza kuchukua fomu za urais wa Zanzibar kwani hiyo ndiyo demokrasia ya mfumo wa vyama vingi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Lowassa: Wingi wa wagombea CCM haunitishi

lowassNa Elias Msuya
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amesema wingi wa makada wa CCM wanaojitokeza kuchukua fomu za kugombea urais haumbabaishi, kwa kuwa ndio mchakato wa demokrasia.

Hadi sasa kuna makada 31 waliochukua fomu za kugombea urais, akiwamo Lowassa mwenyewe.

Akizungumza katika mkutano wa kuwashukuru wana CCM waliomdhamini wilayani Nzega jana, Lowassa alikitaka chama chake kutenda haki ili kupata mgombea bora.
“Kumekuwa na wagombea wengi waliojitokeza kugombea. Huu ni mchezo wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BUNGE LA UKIRITIMBA… Wingi wa CCM unameza maamuzi

BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mujibu wa uwiano na mizania yake, limesheheni wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa jinsi ya kuathiri maamuzi yake. Wingi wa wabunge...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uganda yasema haitishwi na vikwazo

Uganda imesema haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kwa kupitisha sheria dhidi ya mapenzi ya jinsia moja ikisema havina athari kubwa kwa nchi hiyo

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tanzania haitishwi majirani kujitenga’

Serikali imesema kuwa hatua iliyoanzishwa na nchi za Rwanda, Kenya na Uganda ambayo imeruhusu raia wake kusafari ndani ya nchi hizo kwa kutumia vitambulisho vya taifa badala ya hati ya kusafiria kuwa siyo tishio.

 

5 years ago

Michuzi

WANA CCM MANYONI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMDHAMINI RAIS DKT MAGUFULI

Baadhi ya Wanachama wa CCM wilayani Manyoni wakijaza fomu ya kumdhamini Mwenyekiti wa CCM Taifa Mh. John Pombe Magufuli, katika kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uchaguzi wa Oktoba 2020.Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Manyoni Mkoani Singida Ndg. Jumanne Ismail Makhanda akizungumza na baadhi ya Wanachama wa CCM wilayani Manyoni waliojitokeza...

 

10 years ago

Vijimambo

VIJANA CCM WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI

Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Priscus Tarimo,akikabidhiwa fomu ya nafasi hiyo na katibu wa CCM manispaa ya Moshi,Loth Ole Nesele katika ofis za chama hicho za Wilaya ya Moshi mjini.Mtia nia ya kugombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,Priscus Tarimo,akitoa maelezo yake kwa Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya Moshi mjini Donatha Mushi alipofika kwa ajili ya zoezi la uchukuaji wa fomu.
Priscus Tarimo akizungumza na na wanahabari( hawako pichani) muda mfupi baada ya kumaliza...

 

10 years ago

Vijimambo

Wagombea kundi la kifo CCM

Dar es Salaam. Baada ya makada kumaliza kurejesha fomu za kuomba kugombea urais kwa tiketi ya CCM jana, macho sasa yanaelekezwa kwenye vikao vya juu vya chama hicho vitakavyotoa majina yasiyozidi matano yatakayokwenda kupigiwa kura na Mkutano Mkuu utakaofanyika Julai 11 na 12.CCM imeshatangaza kuwa itatumia vigezo 13 ilivyojiwekea kuwachambua wagombea 41 waliochukua na kurejesha fomu ili kupata majina ya wachache watakaopigiwa kura na mkutano huo mkuu, lakini Kamati ya Wazee, ambayo itatoa...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM inavyojikwaa kupata wagombea

>Uongozi ni dhamana, ni jukumu zito, mtu hupewa uongozi na watu. Uongozi hautafutwi kwa udi na uvumba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani