BUNGE LA UKIRITIMBA… Wingi wa CCM unameza maamuzi
BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa mujibu wa uwiano na mizania yake, limesheheni wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa jinsi ya kuathiri maamuzi yake. Wingi wa wabunge...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo09 Nov
Wingi wa vijana Bunge la 11 wagusa hisia
UWAPO wa wabunge wengi vijana katika Bunge la 11 umetajwa kuwa jambo jema kwa nchi ingawa imetolewa angalizo kuhakikisha wingi wao, hauwi sababu ya kugeuza chombo hicho kuwa kijiwe na uwanja wa vijembe.
10 years ago
Habarileo24 Dec
Kesi ya IPTL kupinga maamuzi ya Bunge yakwama
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeshindwa kuendelea kusikiliza kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na kampuni nyingine mbili.
10 years ago
Vijimambo29 Sep
BUNGE MAALUM LA KATIBA:Maamuzi magumu leo
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sita-September29-2014.jpg)
Hatua ya upigaji kura itakayohitimishwa Alhamisi wiki hii na Ijumaa kutunga sheria ya kipindi cha mpito kabla ya katiba kuanza kutumika, inafikiwa baada ya Bunge hilo kutumia zaidi ya...
10 years ago
Habarileo23 Dec
Kesi ya IPTL, PAP kupinga maamuzi ya Bunge leo
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imepanga leo kuanza kusikiliza kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na kampuni nyingine mbili, kupinga utelekezaji wa maazimio ya Bunge kuhusu sakata la akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
KwanzaJamii29 Sep
MAAMUZI MAGUMU BUNGE LA KATIBA, KURA KUPIGWA HADI ALHAMISI
9 years ago
Habarileo02 Sep
CCM haitishwi na wingi wa wagombea
CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kimesema hakitishwi wala kubabaishwa na wingi wa wagombea wa vyama vya siasa wanaojitokeza kuchukua fomu za urais wa Zanzibar kwani hiyo ndiyo demokrasia ya mfumo wa vyama vingi.
10 years ago
Mtanzania13 Jun
Lowassa: Wingi wa wagombea CCM haunitishi
Na Elias Msuya
WAZIRI Mkuu mstaafu, Edward Lowassa, amesema wingi wa makada wa CCM wanaojitokeza kuchukua fomu za kugombea urais haumbabaishi, kwa kuwa ndio mchakato wa demokrasia.
Hadi sasa kuna makada 31 waliochukua fomu za kugombea urais, akiwamo Lowassa mwenyewe.
Akizungumza katika mkutano wa kuwashukuru wana CCM waliomdhamini wilayani Nzega jana, Lowassa alikitaka chama chake kutenda haki ili kupata mgombea bora.
“Kumekuwa na wagombea wengi waliojitokeza kugombea. Huu ni mchezo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BYYDlXS1In4/default.jpg)