Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Saudia yaiwekea vikwazo kampuni ya kina osama

MFALME Salman wa Saudi Arabia ameiwekea vikwazo kampuni yenye ushawishi mkubwa nchini humo ya Binladen Group.

Kampuni hiyo inamilikiwa na familia ya kiongozi wa zamani wa mtandao wa kigaidi wa al-Qaeda, Osama bin Laden. Hatua hiyo imechukuliwa kufuatia kuanguka kwa winchi katika msikiti mkubwa mjini Mecca, iliyowaua watu 107 na kujeruhi wengine karibu 400 siku chache kabla ya ibada ya hija.

Kamati ya Uchunguzi imeona kuwa kampuni hiyo imebeba dhamana kwa janga hilo lililotokea Ijumaa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea vikwazo Uganda

Marekani yaiwekea uganda vikwazo kufuatia sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaiwekea Urusi vikwazo zaidi

Marekani yaiadhibu Urusi kwa vikwazo zaidi vya kiuchumi kutokana na kuhusika kwa Urusi katika mzozo wa Ukraine.

 

9 years ago

Mwananchi

Tuzo za kampuni 100 bora zilivyoibua vikwazo vya kukua uchumi Tanzania

Miaka 30 baada ya Tanzania kufanya mabadiliko ya kiuchumi kwa kuruhusu uchumi huria unaoshirikisha sekta binafsi, idadi ya kampuni binafsi nazo imeongezeka kwa kasi.

 

11 years ago

Mwananchi

CUF yaiwekea pingamizi Chadema ubunge Chalinze

Chama cha Wananchi (CUF), imemwekea pingamizi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chadema, Mathayo Torongei kwa madai ya kukiuka kanuni na sheria za uchaguzi kwa kumtaka msimamizi wa uchaguzi jimbo hilo aliondoe jina hilo katika orodha ya wagombea wanaotarajiwa kupanda kwenye majukwaa kuomba ridhaa kwa wananchi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kanda za sauti ya Osama zasikika

Ni aina gani ya muziki alioupenda aliyekuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Al Queda Osama bin Laden

 

10 years ago

TheCitizen

Did intel from Dar lead US to Osama?

>Did information that led to the killing of Osama bin Laden in Pakistan in May 2011, originate from an informer in Dar es Salaam? This is the question begging an answer following new claims that a man who tipped off the US security agencies about the whereabouts of bin Laden in Dar es Salaam is now demanding his reward of $27 million.

 

10 years ago

TheCitizen

US embassy speaks out on Osama informer

The United States yesterday refused to be drawn into a discussion on claims that information on the whereabouts of Osama bin Laden was first relayed to its embassy in Dar es Salaam in 2005.

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania

Watanzania walioathirika na mlipuko wa mabomu katika ubalozi wa Marekani mjini Dar es Salaam wameshinda kesi yao na sasa watalipwa fidia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Osama:Mwandishi akanusha madai ya Marekani

Mwaandishi mmoja amekanusha madai ya utawala wa Rais Obama kuhusiana na kuuawa Osama Bin Laden

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani