SIR GEORGE KAHAMA AMBARIKI MH. MEMBE KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-emNtPZMU5QE/VXTLwfP88tI/AAAAAAAHc44/aIFqP-VTXeM/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
Mwanasiasa mkongwe nchini, Sir. George Kahama akizungumza na wana CCM na wakazi wa Lindi katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana, wakati Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (wa tatu kushoto waliokaa), alipotangaza nia ya kugombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu ujao wa Mwezi Oktoba, katika Viwanja vya Ofisi ya CCM Mkoa jana. Wengeni (kutoka kushoto) ni Katibu wa CCM Mkoa wa Lindi,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Membe: Watanzania subirini kwa hamu siku yangu ya kutangaza nia ya kuwania Urais
Na theNkoromo Blog
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amewaomba Watanzania kusubiri kwa hamu siku ya kutangaza nia ya kuwania urais kwa tiketi ya CCM, katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Membe amesema, amepanga kutangaza nia hiyo, Juni 6, mwaka huu, na kuwaomba wananchi wamsikilize kwa makini siku hiyo kwakuwa ataeleza kwa kina nini anataka kufanya nchi iweze kuondoka ilipo ikiwemo kuendelea kudumisha amani na utulivu uliopo.
Waziri Membe ambaye...
10 years ago
BBCSwahili22 Oct
Mizengo Pinda kuwania Urais Tanzania
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Lissu atangaza rasmi nia ya kuwania urais Tanzania
10 years ago
GPLBALOZI MAHIGA AJITOSA MBIO KUWANIA URAIS WA TANZANIA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/NsHYV0G2fKg/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HIr13vdanzs/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sjZgeTx4AfQ/VXBt-VV0z8I/AAAAAAAHcFw/j_hMQw5kCW0/s72-c/01.jpg)
DKT. BILAL ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sjZgeTx4AfQ/VXBt-VV0z8I/AAAAAAAHcFw/j_hMQw5kCW0/s640/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZaxxXrUysD4/VXBt-hRGeTI/AAAAAAAHcF0/lEj4juAJUvk/s640/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s72-c/MMGL1282.jpg)
LOWASSA ACHUKUA FOMU YA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUWANIA URAIS WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-jn2FqhWtTaQ/Vcj4oQx1xTI/AAAAAAAHv4s/7zX2K1lYxWY/s640/MMGL1282.jpg)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwapingua maelfu ya wafuasi wa vyama vya Siasa vinavyounda UKAWA, jijini Dar es salaam, Augusti 10, 2015, walipokuwa wakielekea Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuchukua Fomu ya kuwania Urais wa Tanzania kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Octoba 25, mwaka huu.
![](http://4.bp.blogspot.com/-059c9__0dIg/VckRaTDYUUI/AAAAAAAAtts/ISPFUZQyb-k/s640/edo4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s72-c/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
Nyalandu achukua fomu ya kuwania urais wa tanzania mjini dodoma leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-AIWt6vS06fQ/VXR1_aRNzYI/AAAAAAAHcyo/dVgq2NMCUOU/s640/unnamed%2B%2528100%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-isFF2XKAnqI/VXR2MwdrHNI/AAAAAAAHcyw/JNDo5TABzGQ/s640/unnamed101.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5QVUjRbUzBw/VXR2OHKTT_I/AAAAAAAHcy4/EohR90Rihbg/s640/unnamed102.jpg)