Mizengo Pinda kuwania Urais Tanzania
Waziri mkuu wa Tanzania, Mizengo Pinda, atangaza kuwania Urais katika mahojiano na BBC
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/NsHYV0G2fKg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo12 Jun
WAZIRI MKUU MH. MIZENGO PINDA ACHUKUA FOMU ZA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1145.jpg)
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/387.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzmpuF8mIGChfrkikmb4II0oApjiJjEZENNtdfvgiJEXAMyw7zMGNmE6ULS35WO-meWAyolvasRTIfwaCdSJz13U/PINDA.jpg)
WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA ACHUKUA FOMU YA URAIS
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akichukua fomu za urais mkoani Dodoma leo. WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda leo amechukua fomu ya kuwania kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mhe. Pinda amechukua fomu hiyo katika makao makuu ya chama hicho yaliyopo mkoani Dodoma ambapo pia alipata fursa ya kuongea na wanahabari. Katika mkutano wake na wanahabari amekataa kuelekezea mengi kama walivyofanya watangaza nia wenzake ili kutoingilia...
10 years ago
Mwananchi23 Oct
Pinda atangaza rasmi kuwania urais
Siyo tetesi tena. Sasa ni rasmi kwamba Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye amekuwa akitajwa kuwania urais amethibitisha wazi kuwa atagombea kiti hicho katika uchaguzi mkuu mwakani.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jDT15tkIj-k/VXspc0_pSWI/AAAAAAAHfEA/rFOTipnNZQg/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
PINDA ACHUKUWA FOMU YA KUWANIA UTEUZI WA CCM KUGOMBEA URAIS
![](http://3.bp.blogspot.com/-jDT15tkIj-k/VXspc0_pSWI/AAAAAAAHfEA/rFOTipnNZQg/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f_qv60V5T60/VXspe6YzoMI/AAAAAAAHfEI/7t-Y8dfh-Sw/s640/unnamed%2B%252828%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SYfUjMt7RaM/VXsph_tSYoI/AAAAAAAHfEY/slPOKpVCnq0/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
BBC News27 Nov
Tanzania PM Mizengo Pinda caught in corruption row
BBC News
BBC News
Tanzania's prime minister is under pressure to resign over alleged fraudulent payments worth $120m (£76m) to an energy firm and top officials. Mizengo Pinda failed to properly oversee government finances, a parliamentary watchdog committee said.
Tanzania PM asked to resign over escrow account scandalNewstime Africa
Prime Minister Mizengo PindaIPPmedia
all 3
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NEq67U-Shrw/Vl2x1s8koNI/AAAAAAAIJkI/KCOpMXXtOyM/s72-c/China%2BCulture%2BCentre%2B01.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU MIZENGO PINDA AFUNGUA KITUO CHA UTAMADUNI WA CHINA NCHINI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-NEq67U-Shrw/Vl2x1s8koNI/AAAAAAAIJkI/KCOpMXXtOyM/s640/China%2BCulture%2BCentre%2B01.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hjzYntxfzjM/Vl2x2ieiLII/AAAAAAAIJkc/vA1c0FkGiew/s640/China%2BCulture%2BCentre%2B04.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UhcQEJn1XYQ/VHn9rV-JTnI/AAAAAAAG0Qk/TtyPew4En98/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
I:UTANGULIZI a)Masuala ya jumla
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/HIr13vdanzs/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania