Lissu atangaza rasmi nia ya kuwania urais Tanzania
Tundu Lissu atangaza rasmi nia ya kuwania urais Tanzania akiwa ughaibuni
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi29 Dec
NYALANDU ATANGAZA RASMI NIA YA KUWANIA URAIS 2015
theNkoromo Blog, SingidaMbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwakani.
Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba anao uwezo wa kuiongoza Tanzania, katika harakati za kuwafikisha kwenye maendeleo endelevu wanayotaka Watanzania.
Amesema, yuko tayari kushindanishwa na Watanzania wengine watakaoona kuwa wanafaa kuwa Rais, lakini akisema kwanza kila atakayejitokeza itabidi kazi zake...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%252Bpic.jpg)
TUNDU LISSU ATANGAZA RASMI KUJITOSA KUGOMBEA URAIS WA TANZANIA KATIKA UCHAGUZI MKUU WA 2020
![](https://1.bp.blogspot.com/-rL2YS00G6-4/Xt4s9Wu-4II/AAAAAAALtBw/MRSXChIbtpY2tUwIAYgIYZKR2fnujsMxgCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%252Bpic.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi Tundu Lissu ametangaza rasmi kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 25 mwaka 2020.
Lissu ambaye amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu kwa nyakati tofauti amekuwa akionesha nia ya kutaka kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
VijimamboMH. SAMUEL SITTA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mheshimiwa Samuel Sitta leo hii alitangaza rasmi nia yake kugombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Alitangaza nia yake hiyo mbele ya mamia ya wakazi wa kata ya Itetemia, Tabora mjini na wilaya za jirani na mji wa Tabora.Akieleza sababu tano zilizomfanya atangaze nia yake ambazo ni
1.Muungano
Toka pande zetu mbili za muungano zinatolewa kauli na pia...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s72-c/MMGL2459.jpg)
EDWARD LOWASSA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s640/MMGL2459.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GGfCm4-z__I/VWniRuyE-7I/AAAAAAAHay4/WjUvF_HATeU/s640/MMGL2479.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXXPHjC-yAasFduKEOt0QZ3I-suqqLit3iaCX2TpHkrkrKgjZTPA8zk7RnwZs3zmQvvdAotTT7Zp7qpbLygVXH4y/wasirra.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Stephen Wassira akitangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza leo. WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wassira leo ametangaza nia ya kuwania Urais kwenye Ukumbi wa wa BOT jijini Mwanza. Wassira anawania nafasi ya kugombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Katika hotuba yake wakati wa kutangaza nia yake, Wassira amesema amepata kuteuliwa kuongoza sehemu mbalimbali nchini maana marais wote...
10 years ago
GPLPROF. MUHONGO ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo (pichani juu) naye ametangaza nia ya kuwania Urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa kwenye Ukumbi wa Chuo Huria huko Musoma mkoani Mara jioni hii. Prof. Muhongo amesema hawezi kutoa ahadi ya mishahara wakati hajakuza uchumi, hawezi kutoa ahadi ya kujenge shule wakati hajakuza uchumi hivyo tukuze kwanza uchumi kama ulivyo kauli mbiu yake ya Tukuze Uchumi,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXUToPxwc6pcMqxD-0nPBgGvqcO8JwpUK9FdOgyF0k-IBsJWUVxTNp1EO*XnUcWJy*PZA-HcKczLm8PmvFPt-yUg/mwigulu.jpg?width=650)
MWIGULU NCHEMBA NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mwigulu Nchemba akitangaza nia ya kuwania nafasi ya kugombea Urais kupitia CCM jioni hii mkoani Dodoma. NAIBU Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, ametangaza nia ya kuwania nafasi ya kugombea Urais jioni hii kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa katika Ukumbi wa Mwl. Nyerere uliopo kwenye Chuo cha Mipango mkoani Dodoma. Kauli mbiu ya Mwigulu ni ‘Mabadiliko ni Vitendo Wakati ni Sasa.’ Katika hotuba yake Mwigulu ameanza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rWr07F5d70uqlBu1tnfTIaRUL1nbvazCLdsH7g2K8bjmFa4nT043P8TX52D1UJcUmw4dknY2y3jVZeCC-4Xey8s3PdcpLE1F/kamani.jpg)
DK. KAMANI NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS KUPITIA CCM
MBUNGE wa Jimbo la Busega (CCM), ambaye pia ni Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani (pichani) leo ametangaza nia ya kuwania Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) akiwa jijini Mwanza. Dk.Kamani ametangaza nia katika mkutano wake uliofanyika kwenye Ukumbi wa Gandhi Memorial uliopo Nyamagana Jijini Mwanza.
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Mwanafunzi Chuo Kikuu Mzumbe atangaza nia kuwania urais CCM
>Hamasa ya wanaCCM kutangaza nia ya kuwania urais imemwibua mwanafunzi Shahada ya Uzamili ya Utawala wa Umma katika Chuo Kikuu cha Mzumbe, Maliki Malupu (34).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania