NYALANDU ATANGAZA RASMI NIA YA KUWANIA URAIS 2015
theNkoromo Blog, SingidaMbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwakani.
Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba anao uwezo wa kuiongoza Tanzania, katika harakati za kuwafikisha kwenye maendeleo endelevu wanayotaka Watanzania.
Amesema, yuko tayari kushindanishwa na Watanzania wengine watakaoona kuwa wanafaa kuwa Rais, lakini akisema kwanza kila atakayejitokeza itabidi kazi zake...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog28 Dec
Nyalandu atangaza rasmi kuwania Urais 2015
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazalo Nyalandu alisalimia wananachi baada ya kuwasili na mkewe Faraja Kota kwenye Mkutano wa jimbo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Michezo wa Ilongelo, jimboni humo (Picha na Bashir Nkoromo theNkoromo Blog).
theNkoromo Blog, Singida
Mbunge wa Singida Kaskazini, Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kuwania Urais wa Tanzania katika uchaguzi mkuu mwakani.
Amesema amechukua uamuzi huo baada ya kuona kwamba...
5 years ago
BBCSwahili08 Jun
Lissu atangaza rasmi nia ya kuwania urais Tanzania
10 years ago
MichuziNYALANDU ATANGAZA NIA KUGOMBEA URAIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXXPHjC-yAasFduKEOt0QZ3I-suqqLit3iaCX2TpHkrkrKgjZTPA8zk7RnwZs3zmQvvdAotTT7Zp7qpbLygVXH4y/wasirra.jpg?width=650)
STEPHEN WASSIRA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
VijimamboMH. SAMUEL SITTA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
Mheshimiwa Samuel Sitta leo hii alitangaza rasmi nia yake kugombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Alitangaza nia yake hiyo mbele ya mamia ya wakazi wa kata ya Itetemia, Tabora mjini na wilaya za jirani na mji wa Tabora.Akieleza sababu tano zilizomfanya atangaze nia yake ambazo ni
1.Muungano
Toka pande zetu mbili za muungano zinatolewa kauli na pia...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s72-c/MMGL2459.jpg)
EDWARD LOWASSA ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-nEg2Rwm_GIM/VWniR-_BzII/AAAAAAAHay0/lReYgI5H_LM/s640/MMGL2459.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GGfCm4-z__I/VWniRuyE-7I/AAAAAAAHay4/WjUvF_HATeU/s640/MMGL2479.jpg)
10 years ago
GPLPROF. MUHONGO ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Kxa-PchAiXUToPxwc6pcMqxD-0nPBgGvqcO8JwpUK9FdOgyF0k-IBsJWUVxTNp1EO*XnUcWJy*PZA-HcKczLm8PmvFPt-yUg/mwigulu.jpg?width=650)
MWIGULU NCHEMBA NAYE ATANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS
10 years ago
Mwananchi07 Jun
Nyalandu atangaza kwa mara ya pili kuwania urais