Ataka usawa wa jinsia kuwa Tunu ya Taifa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Magdalena Rwebangira ametaka usawa wa jinsia kuwa sehemu ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya na kueleza kuwa maandalizi ya muundo wa serikali tatu bado ni hafifu kuweza kutumika nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Mar
‘Usawa wa jinsia uwe tunu ya taifa Katiba mpya’
WANAHARAKATI wanawake wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuongeza usawa wa kijinsia kwenye tunu za taifa. Zilitajwa tunu saba za taifa zilizopo kwenye rasimu ya Katiba inayojadiliwa bungeni hivi...
11 years ago
Habarileo28 Apr
Mbunge ataka jinsia iwe moja ya Tunu za Taifa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Lediana Mng’ong’o ametaka kipengele cha jinsia kiwe mojawapo ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xKutnriKbTw/VAWIwk65uSI/AAAAAAAGbBQ/pib8N-K5cOI/s72-c/unnamed%2B(35).jpg)
MISINGI YA USAWA WA JINSIA IKILINDWA KATIKA KATIBA MPYA, TUTAPATA KATIBA YENYE MRENGO WA JINSIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xKutnriKbTw/VAWIwk65uSI/AAAAAAAGbBQ/pib8N-K5cOI/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cddAfEHJ76g/VAWIwaLnxvI/AAAAAAAGbBI/8lTVYnqs_LM/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NB38tfhdHm8/VAWIwxrpIvI/AAAAAAAGbBM/XTuCl0lqumE/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
9 years ago
BBCSwahili16 Nov
Mjadala wa usawa wa jinsia
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Mjadala kuhusu usawa wa jinsia
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Kinahitajika chombo cha usawa wa jinsia
TUME ya kusimamia haki za wanawake na usawa wa jinsia ni moja ya vyombo vya uwajibikaji vinavyowekwa kisheria vya kusimamia utekelezaji wa misingi hizi kama ilivyobainishwa katika sheria za nchi....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3AWWcK1HZe-vTd6jZVPYu3drG0ScgywA8eYvjU8czEkwUTN-hX4E0E0Iq5LLXoMbidUH*ScpcFwKCsG*hVnsMmt/KaimuMkurugenziMtendajiLilianLiundiwaTGNPMtandaoakizungumza..jpg)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WALIPONGEZA BUNGE LA KATIBA KUONESHA USAWA WA JINSIA