Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Usawa wa jinsia uwe tunu ya taifa Katiba mpya’

WANAHARAKATI wanawake wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuongeza usawa wa kijinsia kwenye tunu za taifa. Zilitajwa tunu saba za taifa zilizopo kwenye rasimu ya Katiba inayojadiliwa bungeni hivi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ataka usawa wa jinsia kuwa Tunu ya Taifa

Magdalena RwebangiraMJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Magdalena Rwebangira ametaka usawa wa jinsia kuwa sehemu ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya na kueleza kuwa maandalizi ya muundo wa serikali tatu bado ni hafifu kuweza kutumika nchini.

 

10 years ago

Michuzi

MISINGI YA USAWA WA JINSIA IKILINDWA KATIKA KATIBA MPYA, TUTAPATA KATIBA YENYE MRENGO WA JINSIA

Baadhi ya Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba wakiimba kwa furaha wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba (wa kwanza kulia) akipitia taarifa ya mapendekezo ya mtandao wa wanawake na Katiba Tanzania wakati wa semina iliyofanyika 30 Agosti, 2014 kwenye Ukumbi wa Pius Msekwa mjini Dodoma. Mjumbe wa Mtandao wa Wanawake na Katiba Bi. Usu Mallya akitoa mada kuhusiana na suala la kijinsia...

 

11 years ago

GPL

MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WALIPONGEZA BUNGE LA KATIBA KUONESHA USAWA WA JINSIA‏

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Lilian Liundi wa TGNP Mtandao akizungumza. MTANDAO wa Wanawake na Katiba wenye mashirika zaidi ya 50 yanayotetea haki za wanawake katika Katiba mpya, umelipongeza mchakato na matokeo ya  uchaguzi wa kuwapata viongozi wa Bunge Maalum la Katiba (Mwenyekiti na Makamu wake) ambao umezingatia usawa wa jinsia. Kauli hiyo imetolewa leo kwa vyombo vya habari na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Lilian Liundi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ataka jinsia iwe moja ya Tunu za Taifa

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Lediana Mng’ong’o ametaka kipengele cha jinsia kiwe mojawapo ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Rasimu ya Katiba inataja Tunu za Taifa: Ni nani kati yetu anayezijua!

NImeamua leo nianze kwa kueleza kitu kinachoitwa tunu. Tunaambiwa na wataalamu wa Kiswahili kuwa tunu ni kitu anachopewa mtu na mwingine kuwa ni ishara ya mapenzi, hidaya, zawadi, adia, hiba, azizi.

 

11 years ago

Michuzi

TAMWA WATOA ELIMU KWA WABUNGE WANAWAKE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA KUZINGATIA MASUALA YA USAWA WA KIJINSIA WAKATI WA UTUNZI WA KATIBA MPYA.

Na Tiganya Vincent-Dodoma   Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anna Abdallah ametoa wito kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba kufanya kazi kwa ushirikiano katika kuhakikisha kuwa wanaweka maslahi ya mwanamke mbele katika uandishi wa Katiba mpya na sio vinginevyo.   Mwenyekiti huyo ametoa kauli hiyo leo mjini Dodoma wakati anafungua semina ya siku moja ya wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWAKA 2030 UWE MWISHO WA TOFAUTI YA USAWA WA KIJINSIA-UN

 Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Ramadhan Mwinyi akiwa na  wajumbe  kutoka Zanzibar  waliohudhuria mkutano wa  59 wa CSW Anna Maembe,  Katibu Mkuu,  Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akifuatilia  hitimisho la Mkutano wa 59 wa Kamisheni kuhusu Hadhi ya  Wanawake. Nyuma yake  ni  Mhe. Jaji Angela Kileo Sehemu ya Ujumbe wa Tanzania wakifuatilia  uhitimishwaji wa  Mkutano wa  59 wa  CSW

Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani