Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge ataka jinsia iwe moja ya Tunu za Taifa

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Lediana Mng’ong’o ametaka kipengele cha jinsia kiwe mojawapo ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Ataka usawa wa jinsia kuwa Tunu ya Taifa

Magdalena RwebangiraMJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Magdalena Rwebangira ametaka usawa wa jinsia kuwa sehemu ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya na kueleza kuwa maandalizi ya muundo wa serikali tatu bado ni hafifu kuweza kutumika nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Usawa wa jinsia uwe tunu ya taifa Katiba mpya’

WANAHARAKATI wanawake wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuongeza usawa wa kijinsia kwenye tunu za taifa. Zilitajwa tunu saba za taifa zilizopo kwenye rasimu ya Katiba inayojadiliwa bungeni hivi...

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba ataka NEC iwe wazi

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuwa wazi kuanzia hatua ya kujiandikisha kupiga kura ili kuepuka malalamiko dhidi ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao.

 

10 years ago

Mwananchi

Sugu ataka michezo iwe kitega uchumi

Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) na Waziri Kivuli wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amesema ili michezo nchini ifanikiwe ni lazima igeuzwe kuwa kitega uchumi kwa taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunu za taifa ziongezwe -Vijana

BAADHI ya vijana nchini wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupigania tunu za taifa ziongezwe katika ibara ya kwanza kifungu cha tano. Tunu ambazo wametaka ziongezwe ni ardhi na...

 

10 years ago

Habarileo

Maalim Seif ataka Zanzibar iwe na Benki Kuu yake

Maalim Seif Sharif HamadMAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema ipo haja kwa Zanzibar kuwa na chombo chake cha maamuzi ya fedha kitakachoratibu moja kwa moja mwenendo wa uchumi wa Zanzibar.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU ATAKA VITA DHIDI YA UJANGILI IWE YA PAMOJA

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema inahitajika dhamira ya kweli kutoka kwa wadau wote katika kutekeleza Azimio la Arusha la kukabiliana na ujangili na kuendeleza hifadhi za wanyama katika nchi za Afrika Mashariki na zilizo Kusini mwa Ikweta.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jioni (Jumamosi, Novemba 8, 2014) mara baada ya kufunga mkutano wa kikanda wa siku mbili uliojadili mbinu za kupambana na biashara haramu ya wanyamapori ulioandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Arusha,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapenzi wa jinsia moja kuwakilishwa A.K

Chama kipya kinachowatetea wapenzi wa jinsia moja kitasimamisha wagombea katika uchaguzi mkuu nchini Afrika Kusini mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta: Hatutajadili jinsia moja

Rais Uhuru Kenyatta amekariri kuwa swala la jinsia moja halitajadiliwa katika mkutano wake na rais Barack Obama

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani