Makamba ataka NEC iwe wazi
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuwa wazi kuanzia hatua ya kujiandikisha kupiga kura ili kuepuka malalamiko dhidi ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani. Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...
11 years ago
Tanzania Daima30 Aug
‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Mipaka ya mkataba Azam Tv, Bodi ya Ligi iwe wazi
MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ulianza rasmi juzi kwa mechi nne kwenye viwanja vya Taifa na Azam Complex, Dar es Salaam, Mkwakwani, Tanga na Kaitaba,...
11 years ago
Mwananchi20 Oct
Sugu ataka michezo iwe kitega uchumi
11 years ago
Habarileo28 Apr
Mbunge ataka jinsia iwe moja ya Tunu za Taifa
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Lediana Mng’ong’o ametaka kipengele cha jinsia kiwe mojawapo ya Tunu za Taifa katika Katiba mpya.
10 years ago
Habarileo17 Dec
Maalim Seif ataka Zanzibar iwe na Benki Kuu yake
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema ipo haja kwa Zanzibar kuwa na chombo chake cha maamuzi ya fedha kitakachoratibu moja kwa moja mwenendo wa uchumi wa Zanzibar.
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ATAKA VITA DHIDI YA UJANGILI IWE YA PAMOJA
Akizungumza na waandishi wa habari jana jioni (Jumamosi, Novemba 8, 2014) mara baada ya kufunga mkutano wa kikanda wa siku mbili uliojadili mbinu za kupambana na biashara haramu ya wanyamapori ulioandaliwa na Wizara ya Maliasili na Utalii jijini Arusha,...
5 years ago
Michuzi
NEC YAWEKA WAZI DAFTARI LA AWALI, ARUSHA

Tume ya taifa ya Uchaguzi (NEC) kupitia Ofisi ya Afisa Mwandikishaji ambae ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha imesema kuwa itaweka wazi Daftari la Awali la Wapiga Kura kwa siku nne mfululizo.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha pamoja na wawakilishi wa Vyama vya Siasa mkoani Arusha,Afisa Uandikishaji Msaidizi wa Jiji hilo,Misena Bina,alisema daftari litakuwa wazi kuanzia June 17-20, katika vituo vilivyotumika awali wakati wa...
9 years ago
Michuzi
VYOMBO HABARI VIMECHANGIA KUFANYA UCHAGUZI KUWA WAZI NA HAKI NA HURU —NEC

