Mipaka ya mkataba Azam Tv, Bodi ya Ligi iwe wazi
MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ulianza rasmi juzi kwa mechi nne kwenye viwanja vya Taifa na Azam Complex, Dar es Salaam, Mkwakwani, Tanga na Kaitaba,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani. Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Azam Media yamwaga mamilioni Bodi ya Ligi
KAMPUNI ya Azam Media Ltd yenye mkataba wa haki za matangazo ya televisheni ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania, imeikabidhi Bodi ya Ligi (TPL Board) sh milioni 462, ambazo ni...
10 years ago
Mwananchi15 Mar
Makamba ataka NEC iwe wazi
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEzTuBuhzeUD2kqpzylyrDlcLaYuFkHLQ2SIWksNhfpnHNyttMGz5*1zyAXwi3dEG0Tak3Xr-dguNeFSCcB61sKA/kagera.jpg?width=650)
Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga
10 years ago
Mtanzania15 Jun
Bodi ya Ligi yahusishwa
NA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Bodi ya Ligi kitanzini
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Bodi ya Ligi yaionya Yanga
10 years ago
Habarileo07 Aug
Wawa aongeza mkataba Azam
BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.