Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mipaka ya mkataba Azam Tv, Bodi ya Ligi iwe wazi

MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, ulianza rasmi juzi kwa mechi nne kwenye viwanja vya Taifa na Azam Complex, Dar es Salaam, Mkwakwani, Tanga na Kaitaba,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Posho tulidai wazi, kura iwe wazi’

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ahmed Masoud Jongo amewataka wajumbe wasiogope kupiga kura za wazi kama walivyokuwa wakidai nyongeza ya posho hadharani.  Alitoa kauli hiyo juzi jioni alipokuwa akichangia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam Media yamwaga mamilioni Bodi ya Ligi

KAMPUNI ya Azam Media Ltd yenye mkataba wa haki za matangazo ya televisheni ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania, imeikabidhi Bodi ya Ligi (TPL Board) sh milioni 462, ambazo ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Makamba ataka NEC iwe wazi

Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) kuwa wazi kuanzia hatua ya kujiandikisha kupiga kura ili kuepuka malalamiko dhidi ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu ujao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....

 

11 years ago

GPL

Kagera: Bora Azam iwe bingwa siyo Yanga

Kikosi cha timu ya Kagera Sugar. Na Sweetbert Lukonge
KAGERA Sugar inatarajiwa kukipiga na Simba, kesho Jumamosi kisha itakutana na Yanga, Jumatano ijayo, lakini benchi la ufundi la timu hiyo ya mkoani Kagera limesema ‘litakaza’ kwenye mechi zote hizo.
Ikiwa Kagera itaizuia Yanga kupata ushindi, maana yake ni kuwa, Azam FC itakuwa imetwaa ubingwa kwani mpaka sasa inahitaji pointi sita katika mechi tatu...

 

10 years ago

Mtanzania

Bodi ya Ligi yahusishwa

LIGIKUUNA MWANDISHI WETU
BODI ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (TPLB) imehusishwa kwenye uvurundaji wa utoaji wa tuzo kwa waliofanya vizuri msimu uliopita wa ligi hiyo.
Kampuni ya Vodacom Tanzania ilifanya hafla ya utoaji wa tuzo hizo Alhamisi iliyopita jioni baada ya zoezi hilo mijadala mikubwa imeibuka kwenye vijiwe vya soka kutokana na baadhi ya waliopewa tuzo kutokidhi vigezo.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA jana zimedai kuwa baadhi ya wajumbe wa bodi ya ligi, walitaka kulinda...

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi kitanzini

Dar es Salaam. Kikao cha Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kilichokutana jana kimeshindwa kuivunja bodi ya ligi badala yake wameunda kamati ya kuchunguza muundo wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Bodi ya Ligi yaionya Yanga

Bodi ya Ligi Kuu imewapiga mkwara uongozi na wanachama wa Klabu ya Yanga kutothubutu kufanya hujuma kwenye mitambo ya Kituo cha Televisheni cha Azam.

 

10 years ago

Habarileo

Wawa aongeza mkataba Azam

BEKI wa kati wa Azam FC kutoka Ivory Coast, Serge Wawa ameingia mkataba mpya na klabu yake ambao utadumu 2016/17.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani