Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rasimu ya Katiba inataja Tunu za Taifa: Ni nani kati yetu anayezijua!

NImeamua leo nianze kwa kueleza kitu kinachoitwa tunu. Tunaambiwa na wataalamu wa Kiswahili kuwa tunu ni kitu anachopewa mtu na mwingine kuwa ni ishara ya mapenzi, hidaya, zawadi, adia, hiba, azizi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Usawa wa jinsia uwe tunu ya taifa Katiba mpya’

WANAHARAKATI wanawake wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kuongeza usawa wa kijinsia kwenye tunu za taifa. Zilitajwa tunu saba za taifa zilizopo kwenye rasimu ya Katiba inayojadiliwa bungeni hivi...

 

11 years ago

Mwananchi

Ameir :Rasimu ya Katiba mbegu ya kuligawa Taifa

Mwanasiasa mkongwe wa Zanzibar, Ali Ameir Mohamed amesema mfumo wa Muungano wa Serikali tatu unakwenda kinyume na kukiuka makubaliano 11 yaliyomo katika hati ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuvunja misingi yake kwa kutaka kuunda Taifa jipya ndani ya Muungano.

 

11 years ago

GPL

UZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA TAIFA YA KUSAMBAZA UELEWA WA RASIMU YA PILI YA KATIBA YA TANZANIA



 Jaji Mkuu Mstaafu Mh. Thomas Mihayo akitoa ufafanuzi wa uzinduzi wa Rasimu ya pili ya Katiba…

 

9 years ago

Dewji Blog

Amani yetu ni tunu adhimu baraka na fanaka, tuilinde Watanzania wote!

10

Na Eleuteri Mangi-MAELEZO Nuru inapoiangazia dunia, huwaangazia viumbe vyote vilivyo hai na visivyo na uhai, viumbe vyenye uhai, hao hufurahia nuru hiyo kwa kuruka ruka na kucheza kufurahia nuru hiyo. Kila ifikapo asubuhi na mapema, utasikia sauti na mili­o ya ndege wa angani, wanyama wa kufuga na waishio mwituni, milio na sauti za viumbe hao wakati mwingine kuashiria kuwa kumekucha ili waendelee kufurahia nuru inayowanaagazia kwa manufaa ya maisha yao. Wanadamu nao wakiwa kama viumbe...

 

9 years ago

Mwananchi

NANI NI NANI SERIKALI YA JPM?: Dk Hussein Mwinyi – Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa

Dk Hussein Mwinyi ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa katika Serikali ya Awamu ya Tano, ameteuliwa katika baraza la mwanzo la mawaziri la Rais John Magufuli. Kiongozi huyu pia ni mbunge wa jimbo la Kwahani lililoko Unguja, Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tunu za taifa ziongezwe -Vijana

BAADHI ya vijana nchini wamewataka wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupigania tunu za taifa ziongezwe katika ibara ya kwanza kifungu cha tano. Tunu ambazo wametaka ziongezwe ni ardhi na...

 

10 years ago

Mwananchi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani