AZIM DEWJI AMZUNGUMZIA RAIS MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-2YaYe0DlU3o/XszPJ9tWlbI/AAAAAAALriw/O6QtScoyYz8IM0Ol2UYAD6jN8NmYChwRQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed.png)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/nPNu1QbaJ7w/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vDy7qoiW-JA/VFtejHzKHzI/AAAAAAAGvuA/tOebeAMzcWs/s72-c/azim%2Bdewji%2Bna%2Bmajaliwa.jpg)
Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu
![](http://1.bp.blogspot.com/-vDy7qoiW-JA/VFtejHzKHzI/AAAAAAAGvuA/tOebeAMzcWs/s1600/azim%2Bdewji%2Bna%2Bmajaliwa.jpg)
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b698qiANzXk/XmIhrudiThI/AAAAAAALhco/VmfVpFVKmuEUyCFO1sN6uxxqXn2CwTPFACLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-23-53-22.jpg)
9 years ago
Habarileo18 Sep
Ligora amzungumzia Magufuli
ALIYEKUWA Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Mohammed Ligora amesema kiongozi anayefaa kuchaguliwa kuliongoza taifa kwa sasa ni Dk John Magufuli pekee.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CMHJnrP5BDU/default.jpg)
9 years ago
Bongo528 Nov
Dewji ambwaga rais wa Nigeria na kushinda tuzo ya Forbes, ‘Person Of The Year 2015’
![12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n-300x194.jpg)
Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amembwaga rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari na wengine watatu kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za ‘Forbes Africa’s Person Of The Year 2015’ zilizotolewa jana.
“Congratulations to Tanzanian businessman and philanthropist extraordinaire, Muhammed Dewji on being named Forbes Africa’s Person Of The Year 2015. #FAPOY2015,” wameandika Forbes
Akipokea tuzo hiyo Dewji alidai kuitoa kwa vijana wa Tanzania.
Ushindi huo unakuja baada ya hivi karibuni...
10 years ago
TheCitizen12 Feb
Lessons from Azim Jamal’s journey
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s72-c/F87A4420-2-768x435.jpg)
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KWENYE KUAPISHWA RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-PYgpuauzhPU/Xuw1t-nDWvI/AAAAAAALug0/OSHjJMNQffs8OWeNDtOKdpMNQTjBXYPYwCLcBGAsYHQ/s640/F87A4420-2-768x435.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bujumbura Nchini Burundi kwa ajili ya kumuwaklilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwenye shughuli ya kuapishwa Rais Mpya wa Burundi Mhe. Evariste Ndayishimiye leo Juni 18,2020. Kushoto ni Makamu wa Rais wa Burundi Mhe. Gasten Sindimwa.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/F87A4435-2-1024x600.jpg)
11 years ago
Michuzi09 May