Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lessons from Azim Jamal’s journey

Having completed the lessons learnt from Nido’s journey, it is now high time to learn a thing or two from Azim’s.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Azim Dewji awataka wana Simba kuwa Watulivu

Na Mwandishi Wetu
MWANAMICHEZO maarufu nchini, Azim Dewji amewataka wanachama na wapenzi wa timu ya soka ya Simba kuamini timu yao bado ni bora, isipokuwa ipo katika kipindi cha mpito kuelekea katika mafanikio yatakayowashangaza wengi.
Kutokana na imani yake hiyo, ameshauri ni vyema wakatoa ushirikiano wa kila aina kwa viongozi, wachezaji na benchi lote la ufundi, vivyo hivyo akiwataka viongozi kushikamana na wachezaji na benchi la ufundi, badala ya kuanza kunyoosheana vidole.
Aliyasema hayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Jamal Malinzi aipongeza Azam

Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ameipongeza Azam kwa kutwaa ubingwa na kudai kuwa si Tanzania tu iliyozizima bali Afrika kwa ujumla.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI AMSHUKURU LEODGER TENGA

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi amemshukuru Rais wa CECAFA, Leodgar Tenga kwa kuipa Tanzania uenyeji wa mashindano ya Vilabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kagame Cup) iliyomalizika jana kwa klabu ya Azam FC kutawazwa Mabingwa wapya wa michuano hiyo.
Aidha Malinzi ameishukuru Kamati ya Ndani ya Uendeshaji ya Michuano hiyo (LOC) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuandaa na kuhakikisha michuano hiyo inafanyika na kumalizika katika hali ya usalama na amani. ...

 

11 years ago

Michuzi

RAIS WA TFF,JAMAL MALIZI ATEMBELEA MAKAO MAKUU YA FIFA

Rais wa Shirikisho la Soka Ulimwenguni (FIFA),Sepp Blatter (kushoto) akisalimiana na Rais wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi wakati alipomkaribisa kwenye Makao Makuu ya Shirikisho hilo,nchini Uswiss.Kulia ni Katibu Mkuu wa FIFA, Bw. Jerome Valcke

 

11 years ago

Michuzi

RAIS WA TFF JAMAL MALINZI ATUA BUKOBA LEO HII

Mwenyekiti wa chama cha mpira wa Miguu Mkoa wa Kagera (KRFA) Jamal Emil Malinzi amewasili leo Alhamis tarehe 10-4-2014 saa nne asubuhi katika Uwanja wa ndege wa Bukoba Mjini na kupokelewa na Wadau wengi, Huku ikiwa ni mara ya kwanza tangu achaguliwe Rais wa TFF.  Bw. Jamal Malinzi baada ya kutua amezungumza na Viongozi wa Soka Mkoani hapa Kagera na baadae kuhudhulia Kikao cha kamati Tendaji ya KRFA na siku inayofuata utakuwepo mkutano mkuu wa KRFA. Kulia ni Bw. Pelegrinius .A. Rutayuga,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani