Ligora amzungumzia Magufuli
ALIYEKUWA Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Mohammed Ligora amesema kiongozi anayefaa kuchaguliwa kuliongoza taifa kwa sasa ni Dk John Magufuli pekee.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLWARIOBA, WASIRA NA LIGORA WAMMWAGIA SIFA DK MAGUFULI
5 years ago
Michuzi10 years ago
Mtanzania07 Sep
Mkapa amzungumzia Moi
Benjamin Mkapa
NA BENJAMIN MKAPA
NINAFURAHI na kushukuru kwa kupata fursa hii ya kutoa salamu na pongezi zangu za dhati kwa Rais mstaafu Daniel Toroitich arap Moi wakati akitimiza umri wa miaka 90. Hakika Moi ni nembo, mtu mashuhuri na kizazi adimu cha viongozi wa Afrika.
Kwa karibu miaka minane, tulifanya kazi kwa karibu na kwa amani kama viongozi wa nchi zetu; Kenya na Tanzania, na katika muktadha wa Ukanda wa Maziwa Makuu, kukuza maendeleo na kuimarisha amani na utulivu.
Tangu mwanzo...
10 years ago
Habarileo06 Oct
Bosi UVCCM amzungumzia mrithi wa Kikwete
MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Juma Sadifa amependekeza Rais ajaye kutoka chama hicho awe ni yule mwenye kuwapenda vijana kama alivyo Rais wa sasa Jakaya Kikwete.
5 years ago
CCM Blog02 May
JAKAYA KIKWETE AMZUNGUMZIA MAREHEMU MAHIGA
Makamu wa rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi ataongoza mazishi ya aliyekuwa waziri wa Sheria na Katiba Dr. Agustine Mahiga ambae alifariki jana Ijumaa jijini Dodoma, baada ya kuukua kwa muda mfupi.Dr. Mahiga atazikwa kwao huko Mkoani Iringa.Augustine Philip Mahiga, ni moja ya wanadiplomasia mahiri kuwahi kutokea nchini Tanzania...Balozi Mahiga, mwanadiplomasia nguli aliyehudumu kwa miongo mitanoPia ni moja kati ya watu wachache amabao wamefanya kazi katika ngazi za juu na...
9 years ago
Vijimambo5 years ago
BBCSwahili02 May
Jakaya Kikwete amzungumzia Marehemu Augustine Philip Mahiga aliyefariki jana
10 years ago
Vijimambo