WARIOBA, WASIRA NA LIGORA WAMMWAGIA SIFA DK MAGUFULI
 Mgombea urais kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mkono wananchi kuwaaga baada ya kumaliza kufanya kampeni kwenye Uwanja wa Sabasaba, wilayani Bunda, Mara jana  Watu wakiwa wamefurika kumsikiliza Dk Magufuli akijinadi katika Mji wa Nyamswa, Bunda Vijijini ambapo ameahidi kukamilisha ujenzi wa Barabara ya lami inayotoka Bunda  kwenda Nyamuswa hadi Musoma.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Sep
Bashe, Kigangwalah wammwagia sifa za urais Dk Magufuli Nzega
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwapungia mikono wananchi aqlipokuwa akiwasili katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabota.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akipanda jukwaani katika mkutano wa kampeni kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi mjini Tabora.
Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akisalimiana na Spika wa zamani wa Bunge la...
9 years ago
Bongo515 Dec
Mashabiki wammwagia sifa AY kwa hili
![12331683_1007956949264144_2112653779_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12331683_1007956949264144_2112653779_n-300x194.jpg)
Sio kila mtu mwenye moyo wa kufungua njia kwa wengine bado akaendelea kufurahia mafanikio ya waliomfuata nyuma.
Kwa AY ni tofauti, na ndio maana bado ameendelea kuwa msanii anayeheshimiwa zaidi si tu na mashabiki, bali wasanii wenzake pia.
Rapper huyo ambaye yupo nchini Afrika Kusini, alipost picha kwenye Instagram na Facebook akiwa amezishika tuzo za MTV alizoshinda Diamond hivi karibuni na kuandika:
Nilichokuwa nakipigania tangu mwanzo nazidi kuona matunda yake na najisikia faraja sana....
9 years ago
Habarileo18 Sep
Ligora amzungumzia Magufuli
ALIYEKUWA Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar es Salaam, Mohammed Ligora amesema kiongozi anayefaa kuchaguliwa kuliongoza taifa kwa sasa ni Dk John Magufuli pekee.
11 years ago
Habarileo12 Mar
Wasira aipinga rasimu ya Warioba
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Steven Wasira ameishutumu rasimu ya katiba ya Tume ya Marekebisho ya Katiba juu ya mfumo wa muungano wa serikali tatu kuwa si maoni ya wananchi ndio maana Chama Cha Mapinduzi kinapinga mfumo huo.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Waraka wa Warioba kwa Wasira
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Wasira: Warioba alinikimbiza CCM 1995
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Warioba ataja sifa za rais 2015
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Rais Magufuli hahitaji sifa
MWEZI mmoja tangu Rais John Magufuli, amefanya mambo mengi ambayo yamefufua matumaini ya Watanzan
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Magufuli ammwagia sifa Dk. Willbrod Slaa
NA BAKARI KIMWANGA, HANANG’ KWAANGW’
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amemsifu aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Wilbrod Slaa na kusema ni kiongozi safi anayewapenda Watanzania.
Alisema kama Dk. Slaa, angekuwa anagombea nafasi yoyote angewaambia Watanzania ni mtu safi mwenye uchungu na taifa lake.
Dk. Magufuli, alitoa kauli hiyo kwa nyakati tofauti jana katika mikutano yake ya kampeni aliyoifanya majimbo ya...