Wasira: Warioba alinikimbiza CCM 1995
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira amesema mgogoro wake na Jaji Joseph Warioba uliotokana na kura za maoni ndani ya CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995, ndiyo uliomsukuma kujitoa chama tawala na kujiunga na NCCR-Mageuzi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Mar
Wasira aipinga rasimu ya Warioba
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Steven Wasira ameishutumu rasimu ya katiba ya Tume ya Marekebisho ya Katiba juu ya mfumo wa muungano wa serikali tatu kuwa si maoni ya wananchi ndio maana Chama Cha Mapinduzi kinapinga mfumo huo.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Waraka wa Warioba kwa Wasira
9 years ago
GPLWARIOBA, WASIRA NA LIGORA WAMMWAGIA SIFA DK MAGUFULI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/GAEpisZ3Cuk/default.jpg)
9 years ago
GPL29 Sep
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bQuy-njrnKo/default.jpg)
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Wasira aongoza mazishi ya kada wa CCM Singida
Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula (kushoto) akiwasikiliza Wazee waasisi wa CCM kutoka mkoani Singida, Kutoka kulia ni Sumbu Galawa, Alhaji Mahami Rajabu Kundya (ambaye ni marehemu) na Mujengi Gwao Makamu, walipomfikishia ujumbe wao maalum, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, Januari 15, 2013.(Picha na Maktaba)
Na Nathaniel Limu
Waziri Ofisi ya Rais Mahusiano na Uratibu, Stephen Wasira juzi ameongoza mamia ya wakazi wa mkoa wa Singida katika...
10 years ago
Mtanzania01 Jun
Wasira, Mwigulu nao wajitosa urais CCM
HEKAHEKA za kuwania kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mgombea urais zinazidi kupamba moto baada ya makada wengine wawili, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kutangaza kujitosa katika mbio hizo jana.
Wakati Wasira akitangaza kuhakikisha analeta mageuzi mpya kwa taifa, Mwigulu ameahidi Watanzania kuumiliki uchumi.
Wasira ambaye ni Mbunge wa Bunda, amekuwa ni kada wa pili huku Mwigulu akiwa wa tatu kutangaza nia ya kuwania...
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Wasira: Ilani ya CCM iko mbioni kukamilika