DC MBARALI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA CHAMA CHA WAFANYAKAZI SERIKALI ZA MITAA MBEYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1doY2Eku0Uk/XrEKuSmSoXI/AAAAAAALpKE/pgXRUzdHCncSbRGq02ZL8fzpCD7t5CWLgCLcBGAsYHQ/s72-c/72609f15-87bb-4a65-a319-f9ffb3677353.jpg)
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuunga mkono jitihada za serikali za kupambana na maambukizi ya ugonjwa wa Corona, Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Mkoani Mbeya (TALGWU) wametoa misaada ya vifaa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Ruben Mfune.
Vifaa vilivyotolewa na Chama hicho ni pamoja na Kipima joto, Vitakasa mikono Lita 10, Vidonge vya Klorini 500 na Barakoa zipatazo 150, huku wakiwaomba wadau wengine kujitokeza kuchangia vifaa hivyo.
Akizungumza baada ya kupokea vifaa hivyo, DC Mfune...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MWANGA APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA TAASISI YA DK MSUYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMUyNNQOEv4/XrqGIATjvzI/AAAAAAALp5o/dcrgPqnFaJ43OA0C9XhV7uAdLUBtt8UvgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.01.56%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jaezRZsZG5M/XrqGIXD_QVI/AAAAAAALp5s/CjCNy-Po5ykgCQMAV38Oun7qliZra1NewCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.03.00%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Lt1VO7H_vh0/Xr18u9b6LfI/AAAAAAALqQI/XVZzWq9QHDc5WGUHbiiAYKP1tP0xd-r4ACLcBGAsYHQ/s72-c/1215be02-f0c6-4e64-b659-0a6642cf4873.jpg)
DC NDEJEMBI APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WILAYANI KONGWA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuendeleza mapambano dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, Deo Ndejembi amepokea vifaa vya kujikinga na ugonjwa huo kutoka Taasisi ya Glaring Future Foundation (GFF).
Vifaa hivyo ambavyo ni Ndoo za kunawia na sabuni zake vimekabidhiwa kwa DC Ndejembi na Mkurugenzi wa taasisi hiyo, Aisha Msantu.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo, DC Ndejembi ameipongeza taasisi ya GFF kwa moyo wao wa uzalendo wa kuiunga mkono serikali dhidi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-baIwmGbi0_k/Xtjy8wA6qoI/AAAAAAALsng/jQ552wQ3gpcUsvQgGlALDRu0NyU-v_MCACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200604-WA0044.jpg)
WAZIRI WA ELIMU,SAYANSI NA TEKNOLOJIA APOKEA MSAADA WA VIFAA VYA KUKABILIANA NA CORONA KUTOKA AFRICAB
Na Said Mwishehe ,Michuzi TV
KATIKA kuendelea kukabiliana na virusi vya Corona nchini, SerikaIi kupitia Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia imepokea msaada wa matanki 100 kutoka kampuni ya utengenezaji wa vifaa vya umeme ya AFRICAB maalumu kwa ajili ya kuwawezesha wanafunzi na wanavyuo jijini Dar es Salaam kunawa mikono ili kukabiliana na janga la homa mapato inayosababishwa na virusi vya Corona.
Akipokea na kisha kukabidhi matanki hayo yenye thamani ya Sh. Milioni 50, Waziri wa Elimu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s72-c/PIX1.jpg)
Waziri Mukangara apokea msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Serikali ya China
![](http://3.bp.blogspot.com/-lTjMKSwOXTw/VLj9mTqWTDI/AAAAAAAG9yY/b6B5xmX8muM/s1600/PIX1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
UWT DODOMA MJINI YATOA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KATIKA KITUO CHA WAGONJWA WA UKOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cllXeFm9Lr8/Xr_hqWwqPcI/AAAAAAALqcw/0pSudlmdtaADfwPseWyvcW4z5FQ5DyQdwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.24.46%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qrrUHbbsq7c/Xr_hqfZ2CZI/AAAAAAALqc0/MKJBVX74Zpcyg7Pr8HX_MhRlo7_u0IQ_QCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-16%2Bat%2B3.26.28%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.
Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200325-WA0024.jpg)
SERIKALI YAPOKEA TANI TATU YA VIFAA KUTOKA CHINA VYA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ma7H0Ct_oTA/Xntj9ftZX9I/AAAAAAACJXM/T82VtOxIBn8OuMNkiEV9yUWqm71KJit0ACLcBGAsYHQ/s400/IMG-20200325-WA0024.jpg)
Serikali ya Tanzania mepokea msaada wa vifaa kinga kutoka China kwa ajili ya kusaidia kukabiliana na mlipuko wa maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (COVID-19) kutoka taasisi ya Jack Ma na Alibaba.
Akipokea vifaa hivyo kwa niaba ya Serikali, Mganga Mkuu wa Serikali, Prof. Muhammed Bakari Kambi amesema msaada huo ambao umetolewa na Taasisi ya Jack Ma na Alibaba ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ie32M8C9n90/Xs5urEFiwaI/AAAAAAALrvc/hrAG3mLWDjsaIFPE8t1HJc9ZctIspanFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-27%2Bat%2B4.25.25%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI CCBRT AKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA HOSPITALI, VITUO VYA AFYA 22
![](https://1.bp.blogspot.com/-ie32M8C9n90/Xs5urEFiwaI/AAAAAAALrvc/hrAG3mLWDjsaIFPE8t1HJc9ZctIspanFACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-27%2Bat%2B4.25.25%2BPM.jpeg)
Lengo la CCBRT ni kuunga mkono juhudi za Serikali na wadau wengine hapa nchini katika kuwakinga wahudumu wa afya na janga la Corona.
“Tumekusudia vifaa hivi vitumike katika vitengo vya afya ya uzazi katika hospitali hizo ili kuwakinga wahudumu wa afya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...