MKURUGENZI CCBRT AKABIDHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA HOSPITALI, VITUO VYA AFYA 22
![](https://1.bp.blogspot.com/-ie32M8C9n90/Xs5urEFiwaI/AAAAAAALrvc/hrAG3mLWDjsaIFPE8t1HJc9ZctIspanFACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-27%2Bat%2B4.25.25%2BPM.jpeg)
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa hospitali ya CCBRT, Brenda Msangi, leo hii amekabidhi vifaa maalumu vya kujikinga na virusi vya Corona usoni (Face Shields) vipatavyo 150 kwa hospitali na vituo vya afya 22 katika Manispaa za mkoa wa Dar es Salaam.
Lengo la CCBRT ni kuunga mkono juhudi za Serikali na wadau wengine hapa nchini katika kuwakinga wahudumu wa afya na janga la Corona.
“Tumekusudia vifaa hivi vitumike katika vitengo vya afya ya uzazi katika hospitali hizo ili kuwakinga wahudumu wa afya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IF9dGWkgnsg/XqE2Z62YioI/AAAAAAALn7I/8y6FAc3-C90owxmWd2G7hit2Ftmi-16KwCLcBGAsYHQ/s72-c/25173a2e-5a3d-4947-a931-da1625adadd4.jpg)
ASASI ZA KIRAIA ZAANZISHA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUNUNUA VIFAA VYA WAHUDUMU WA AFYA KUJIKINGA NA CORONA
Charles James, Michuzi TV
Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona, Asasi za Kiraia zimeanzisha kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia mapambano hayo.
Kampeni hiyo imelenga kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwanunulia vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona wahudumu wa afya nchini.
Akizungumzia kampeni hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa AZAKI, Francis Kiwanga amesema wao kama Asasi za Kiraia wameguswa na mapambano ya ugonjwa huo hivyo wakaona ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MWANGA APOKEA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KUTOKA TAASISI YA DK MSUYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PZztkjAutVk/XrqGH_zFycI/AAAAAAALp5k/ujTcKLWsf6oFgsGsEUppHnT-61p-LI_6ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.00.37%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMUyNNQOEv4/XrqGIATjvzI/AAAAAAALp5o/dcrgPqnFaJ43OA0C9XhV7uAdLUBtt8UvgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.01.56%2BPM.jpeg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jaezRZsZG5M/XrqGIXD_QVI/AAAAAAALp5s/CjCNy-Po5ykgCQMAV38Oun7qliZra1NewCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-12%2Bat%2B1.03.00%2BPM.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.
Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...
5 years ago
MichuziWADAU WA AFYA WACHANGIA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA WAKATI WA MATIBABU SHINYANGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s72-c/DC%2BKINO.jpg)
DC CHONGOLO AAGIZA WATAALAMU WA AFYA KUTOA ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA KWENYE VITUO VYA DALADALA, NYUMBA ZA IBADA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wcVK7Mbxf1s/XnJEG9r10SI/AAAAAAALkRY/WZ_46goMTxUEQX_VoDdVAPQMSDNnKfHUQCLcBGAsYHQ/s400/DC%2BKINO.jpg)
Aidha Mhe. Chongolo ameagiza pia elimu hiyo kutolewa kwenye vituo vya daladala ili kuwasaidia wananchi kutambua namna ya kutumia na kujikinga na Virusi hivyo.
Mhe. Chongolo ametoa agizo hilo leo katika kikao cha zarura kilichofanyika katika ukumbi wa Afya ambapo kimehusisha Mkurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200428_124231.jpg)
UVCCM WILAYA YA IRINGA WAENDELEA KUTOA EILIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Sl9BkzjOc3c/XrldHdvcN-I/AAAAAAAAH34/EeGs2DSMNb8KmZz7_Y8PqK0vQsuplWBIwCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124231.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-iLuorMEDQJY/XrldHXht2LI/AAAAAAAAH38/9tG-wsWwLEku15dl-54AxhuWsWx-m52GgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200428_124111_1.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) Wilaya ya Iringa vijijini umeeleza kuwa zoezi la...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Tke-n3YaxY4/XsFoD7mO1kI/AAAAAAAAJeQ/P4XbinY6n3kndLFFJsj3IUNltlPmDGmtgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200516_112154_576.jpg)
RC.GAMBO MALIZENI MIRADI YA MAJI NDANI YA MKATABA SANJARI NA KUFUNGA VIFAA VYA VITUO VYA AFYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Tke-n3YaxY4/XsFoD7mO1kI/AAAAAAAAJeQ/P4XbinY6n3kndLFFJsj3IUNltlPmDGmtgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200516_112154_576.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Arusha alipofanya ziara ya kutembelea Kituo cha Afya Kaloleni kujionea shughuli mbalimbali kwenye kituo hicho ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku tatu kukagua miradi ya Afya na Maji kwenye Halmashauri zote za mkoa huo hii ikiwa ni ziara yake kwenye halmashauri ya jiji la Arusha mwishoni mwaka wiki picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-apc-nwtwAPg/XsFn_mJy97I/AAAAAAAAJeE/w8hYk4bj6OYgme3OaXZb901SN4ffP0HWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200516_112255_300.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oDiOuaGxb2M/Xr2PYDr9pRI/AAAAAAALqR4/4DtKAWRuWRUMGkK8AhpTPRHFKkVdl2B7ACLcBGAsYHQ/s72-c/f5314237-78f6-454a-8680-7f30a2082329-768x512.jpg)
MUNANTHA MED WATOA ELIMU NA VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA KWA WAFUGAJI
Munanta Med pamoja na kutoa elimu hiyo kwenye masoko na minada pia, maofisa watendaji na wenyeviti wa vijiji, viongozi wa kimila, waganga wa jadi na wakunga wamepatiwa mafunzo ya kupambana...
5 years ago
MichuziDIWANI AISHUKURU KAMPUNI YA GP KWA KUWASAIDIA WANANCHI VIFAA VYA KUJIKINGA NA CORONA,FUTARI
Mmiliki wa Kampuni ya SSMC Limited Saidi Mohamed kushoto akimkabidhi
vyakula vya futari na vifaa vya kujikinga na Ugonjwa wa Corona Diwani wa
Kata ya Makorora Omari Mzee vyenye thamani ya milioni 16 vilivyotolewa
na Kampuni ya Mafuta ya GP mapema leo kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kata
ya Makorora Ramadhani Badi
Diwani wa Kata ya Makorora Omari Mzee kushoto akibidhi mmoja wa wananchi wa Kata ya Makorora Futari yenye thamani ya milioni 16 vilivyotolewa na Kampuni ya Mafuta ya GP mapema leo...