Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majaliwa ataka viyoyozi vituo vya mabasi ya Dart

Jiji la Dar es Salaam lilisimama kwa muda wakati wa ukaguzi wa mradi wa mabasi yaendayo kasi, uliofanywa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiandamana na viongozi mbalimbali wa Serikali na  baadhi ya wadau wa usafirishaji nchini huku akitoa maagizo saba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Majaliwa ataka mabasi ya kasi yawe barabarani

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameagiza Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kuhakikisha Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), unaanza kufanya kazi Januari 10, mwakani. Kadhalika, ameagiza wizara hiyo kupitia upya mikataba ya wadau wa mradi huo, wakiwemo Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) na wadau wengine kwenye mradi huo, ili kurekebisha kasoro zilizopo kwa lengo la kuhakikisha Serikali inanufaika.

 

9 years ago

Michuzi

Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam

TATIZO la usafiri katika jiji la Dar es Salaam linatarajia kupungua kufuatia kuanza kupindi cha mpito cha mabasi Yaendayo Haraka (BRT) mwezi ujao kufuatia kuwasili kwa mabasi 138 katika Bandari ya Dar es Salaam kutoa China tayari kwa huduma ya usafiri.  Mkuu wa Mkowa Dar es Salaam, Bw. Saidi Meck Sadiki aliwaambia waandishi wa habari jana wakati alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam kujionea kuwasili kwa mabasi hayo, kuwa wakazi wa Dar es Salaama kwa sasa wataanza kutumia...

 

11 years ago

Michuzi

WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA

 Kamanda wa kikosi cha usalama Barabarani Mkoa wa Dodoma SSP Peter Sima akifafanua jambo  alipokuwa akizungumza na madiwani wa manispaa ya Dodoma  mwishoni mwa wiki hii.  Meya wa Manispaa ya Dodoma Emanuel Mwiliko akifafanua jambo kwenye baraza la madiwani lililokutana mwisho wa wiki kujadili juu ya makusanyo mbalimbali ili kukamili makadilio ya mwaka huu wa fedha, kushoto ni Naibu Meya Jumanne Ngede.
  Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma Robert Kitimbo akielezea jambo katikakikao...

 

11 years ago

Habarileo

JK ataka busara ujenzi vituo vya afya mijini

Anna Makange,Tanga RAIS Jakaya Kikwete ameutaka uongozi wa halmashauri ya jiji la Tanga kuweka mpango bora wa ujenzi wa vituo vya afya kwa kuziunganisha kata huku wakizingatia idadi ya watu waliopo kwenye eneo husika.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI

Charles James, Globu ya JamiiSERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...

 

11 years ago

Michuzi

updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam

 Kituo cha Ubungo mwisho kinavyoonekana leo  Ubungo mwisho  Ubungo stendi  Daraja la Manzese bado linadunda Muonekano wa barabara hio kutokea Magomeni Mapipa kwa Macheni

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI,ATOA SIKU TATU KUHAKIKISHA ZINARATIBU AGIZO HILO

Charles James, Globu ya Jamii

SERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.

LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Majaliwa akagua mradi wa DART

IMGS5658

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Watendaji wa Mradi wa Mabasi yaendeyo haraka DART ofisini kwake kabla ya kufanya ziara ya kukagua mradi huo Desemba 19, 2015.Kulia Kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Utumishi  na Utawala Bora, George Siumbachawene. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

IMGS5703

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ndani ya basi la Mradi wa Mabasi yaendayo haraka DART kwenye kituo cha Feri jijini Dar es salaam akati alipofanya ziara ya kukagua mradi huo Desemba 19,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabasi ya DART yaanza kazi Dar

WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, kutakuwa na mabasi machache yatakayoanza kutoa huduma kuanzia Kimara hadi Kivukoni....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani