Majaliwa ataka viyoyozi vituo vya mabasi ya Dart
Jiji la Dar es Salaam lilisimama kwa muda wakati wa ukaguzi wa mradi wa mabasi yaendayo kasi, uliofanywa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiandamana na viongozi mbalimbali wa Serikali na baadhi ya wadau wa usafirishaji nchini huku akitoa maagizo saba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo20 Dec
Majaliwa ataka mabasi ya kasi yawe barabarani
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameagiza Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), kuhakikisha Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), unaanza kufanya kazi Januari 10, mwakani. Kadhalika, ameagiza wizara hiyo kupitia upya mikataba ya wadau wa mradi huo, wakiwemo Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) na wadau wengine kwenye mradi huo, ili kurekebisha kasoro zilizopo kwa lengo la kuhakikisha Serikali inanufaika.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJAGhtU4gAs/Vf6bOiCejDI/AAAAAAAH6Rk/QXlbDbF8TM8/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
Mabasi 138 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) yawasili bandarini Dar es salaam
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s72-c/13.jpg)
WAMACHINGA WANAOFANYA KAZI ZAO KWENYE VITUO VYA DALADALA NA MABASI DODOMA KUONDOLEWA
![](http://4.bp.blogspot.com/-FOP2-IdqS84/U4ntaZbo64I/AAAAAAAAtRg/F6hfCCu-_gg/s1600/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JshWNd58-SE/U4ntbcs_vFI/AAAAAAAAtRk/D79d1eBvgEg/s1600/14.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BRMEbBd198o/U4ntbYc2qUI/AAAAAAAAtRs/-xQ-kaCHXOc/s1600/15.jpg)
11 years ago
Habarileo28 Mar
JK ataka busara ujenzi vituo vya afya mijini
Anna Makange,Tanga RAIS Jakaya Kikwete ameutaka uongozi wa halmashauri ya jiji la Tanga kuweka mpango bora wa ujenzi wa vituo vya afya kwa kuziunganisha kata huku wakizingatia idadi ya watu waliopo kwenye eneo husika.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9zpi8KRCHZA/XnI_cnVYcTI/AAAAAAALkN4/rcXXv_E-ZJM0DJ1X3IrdoxzctoPsrMAZwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B5.43.03%2BPM.jpeg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI
![](https://1.bp.blogspot.com/-9zpi8KRCHZA/XnI_cnVYcTI/AAAAAAALkN4/rcXXv_E-ZJM0DJ1X3IrdoxzctoPsrMAZwCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-18%2Bat%2B5.43.03%2BPM.jpeg)
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s72-c/d1.jpg)
updates: Taswira za Maendeleo ya ujenzi wa barabara na vituo vya mabasi yaendayo haraka jijini Dar es salaam
![](http://4.bp.blogspot.com/-TWGMXTz0OeA/U0FqL5SyRaI/AAAAAAAFY1g/xBzQzkwB6YU/s1600/d1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-gIQ3MA0PI-w/U0FqOuDIUfI/AAAAAAAFY1o/eaX0wDcKz0Y/s1600/d2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KoPzw9rFbeE/U0FqTTKOpmI/AAAAAAAFY1w/GdzKMQQ_rEU/s1600/d3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cD4694Q5WXU/U0FqVj3ShpI/AAAAAAAFY14/TiHF3wesqD4/s1600/d4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FC97P5wsUvI/U0FqXJLd0EI/AAAAAAAFY2A/cs0ygwxzszg/s1600/d5.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MRBtiNDAO7o/XnMCy5jeYmI/AAAAAAALkYk/8l89aFFCN8gcz0BURGVmy3RSFgV8g9R9gCLcBGAsYHQ/s72-c/1938f9fe-b097-4db5-80f5-8cf5943b1e36.jpg)
WAZIRI KAMWELWE AITAKA LATRA KUCHUKUA HATUA KUKABILIANA NA CORONA KWENYE VITUO VYA MABASI,ATOA SIKU TATU KUHAKIKISHA ZINARATIBU AGIZO HILO
SERIKALI imeziagiza Halmashauri za Majiji na Miji kukaa na Mamlaka za Udhibiti Usafiri wa Ardhini (LATRA) ili kuweka utaratibu maalum ambao utadhibiti mrundikano na wingi wa watu kwenye vituo vikuu vya mabasi.
LATRA na Halmashauri hizo zimepewa siku tatu kuhakikisha zinaratibu agizo hilo ikiwa ni hatua za serikali katika kujikinga na maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona.
Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Waziri wa Ujenzi,...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Majaliwa akagua mradi wa DART
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa akizungumza na Watendaji wa Mradi wa Mabasi yaendeyo haraka DART ofisini kwake kabla ya kufanya ziara ya kukagua mradi huo Desemba 19, 2015.Kulia Kwake ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Utumishi na Utawala Bora, George Siumbachawene. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa ndani ya basi la Mradi wa Mabasi yaendayo haraka DART kwenye kituo cha Feri jijini Dar es salaam akati alipofanya ziara ya kukagua mradi huo Desemba 19,...
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Mabasi ya DART yaanza kazi Dar
WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, kutakuwa na mabasi machache yatakayoanza kutoa huduma kuanzia Kimara hadi Kivukoni....