Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RAIS KIWETE KUFUNGUA KIWANDA CHA VIUADUDU KESHO MJINI KIBAHA

Rais Jakaya Kikwete

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete kufungua kiwanda cha Viuadudu leo mjini Kibaha

Jakaya-Kikwete1

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete.

Press Release.doc 

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Mkuu akagua kiwanda cha viuadudu Kibaha

PG4A1825

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1837

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A1842

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana atinga Kibaha mjini, akagua na kufungua miradi ya maendeleo

1. Kinana akifyeka msitu kuzindua kambi ya Vijana ya Boko timiza

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kuvyeka miti wakati wa uzinduzi wa kambi ya Umoja wa Vijana wa CCM, ya mafunzo ya kilimo katika eneo la Boko Timiza, Kibaha mjini mkoa wa Pwani. Katika kambi hiyo vijana wanatarajiwa kufanya mafunzo ya kilimo kwenye shamba la ekari 25.

1b. Kijana akiwahamasisha kwa wimbo vijana walioko kambi ya Boko Timiza, Kibaha

 Kijana akihamasisha vijana wenzake, walioko kwenye kambi hiyo ya mafunzo ya kilimo, eneo la Boko Timiza wilaya ya Kibaha mjini.

2. Kinana akipanda mti bada ya kuzindua ujenzi Ofisi ya CCM Kibaha

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda mti kwenye kiwanja...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali inajenga Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya viluwiluwi vya mbu

Meneja-Uhusiano-na-Mawasiliano-wa-Shirika-la-Maendeleo-ya-Taifa-NDC-Abel-Ngapemba-kushoto-kulia-Inginia-Godfrey-Mahundi.

Meneja Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Abel Ngapemba (kushoto) akiwa na Injinia Godfrey Mahundi.

Frank Mvungi-Maelezo

Serikali kutumia Euro Milioni 16 katika ujenzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vinavyoua viluwiluwi vya mbu wanaoambukiza malaria ulioko chini ya shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.

Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Shirika hilo Bw. Abel Ngapemba wakati wa mkutano nawaandishi wa habari leo jijini Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Kiwanda cha chanjo kufunguliwa Kibaha

WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ipo katika hatua za mwisho kufungua kiwanda cha chanjo ya mifugo cha Kibaha cha mkoani Pwani huku ikiwataka wananchi kuongeza kasi ya uzalishaji wa kuku ili kukabiliana na ukuaji wa soko la bidhaa hiyo ambalo kwa sasa linakua kwa kasi nchini.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. BILAL AWASILI MJINI UNGUJA KUFUNGUA KONGAMANO LA MUUNGANO KESHO

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya maafisa na viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mjini Zanzibar leo jioni kwa ajili ya kufungua rasmi Kongamano la Muungano, linaloanza kesho katika Ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Beach Resort. Wa pili (kulia) ni mkewe Mama Zakia Bilal. Picha na OMR

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani