RAIS KIWETE KUFUNGUA KIWANDA CHA VIUADUDU KESHO MJINI KIBAHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-fugQmA2aygQ/VZQlM__6ZmI/AAAAAAAAewE/GiuEKZdXk6s/s72-c/kikwete.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-fugQmA2aygQ/VZQlM__6ZmI/AAAAAAAAewE/GiuEKZdXk6s/s72-c/kikwete.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Rais Kikwete kufungua kiwanda cha Viuadudu leo mjini Kibaha
Press Release.doc
10 years ago
Dewji Blog09 May
Waziri Mkuu akagua kiwanda cha viuadudu Kibaha
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiakagua mitambo ya kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu kinachojengwa na watalaamu kutoka Cuba, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Watalaamu kutoka Cuba wanaojenga kiwanda cha dawa za kuua wadudu hasa mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua kiwanda cha kutengeneza dawa za wadudu hasa Mbu, Kibaha mkoani Pwani Mei 8,...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/rGYvqTPuSok/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Kinana atinga Kibaha mjini, akagua na kufungua miradi ya maendeleo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kuvyeka miti wakati wa uzinduzi wa kambi ya Umoja wa Vijana wa CCM, ya mafunzo ya kilimo katika eneo la Boko Timiza, Kibaha mjini mkoa wa Pwani. Katika kambi hiyo vijana wanatarajiwa kufanya mafunzo ya kilimo kwenye shamba la ekari 25.
Kijana akihamasisha vijana wenzake, walioko kwenye kambi hiyo ya mafunzo ya kilimo, eneo la Boko Timiza wilaya ya Kibaha mjini.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda mti kwenye kiwanja...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Serikali inajenga Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vya viluwiluwi vya mbu
Meneja Uhusiano wa Shirika la Maendeleo ya Taifa (NDC) Abel Ngapemba (kushoto) akiwa na Injinia Godfrey Mahundi.
Frank Mvungi-Maelezo
Serikali kutumia Euro Milioni 16 katika ujenzi wa Kiwanda cha kuzalisha viuadudu vinavyoua viluwiluwi vya mbu wanaoambukiza malaria ulioko chini ya shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) unaotarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
Hayo yamesemwa na Meneja Uhusiano wa Shirika hilo Bw. Abel Ngapemba wakati wa mkutano nawaandishi wa habari leo jijini Dar es...
11 years ago
Habarileo12 Apr
Kiwanda cha chanjo kufunguliwa Kibaha
WIZARA ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, ipo katika hatua za mwisho kufungua kiwanda cha chanjo ya mifugo cha Kibaha cha mkoani Pwani huku ikiwataka wananchi kuongeza kasi ya uzalishaji wa kuku ili kukabiliana na ukuaji wa soko la bidhaa hiyo ambalo kwa sasa linakua kwa kasi nchini.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pXjJe-k-_J8/U1FNO2_SyrI/AAAAAAAFbvs/EXjgVAsJafA/s72-c/unnamed+(1).jpg)
DKT. BILAL AWASILI MJINI UNGUJA KUFUNGUA KONGAMANO LA MUUNGANO KESHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pXjJe-k-_J8/U1FNO2_SyrI/AAAAAAAFbvs/EXjgVAsJafA/s1600/unnamed+(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z3OgeowQV30/U1FNPANPqLI/AAAAAAAFbvw/tVNw2NZs9JQ/s1600/unnamed.jpg)