JKT wadaiwa kupora samaki
WAVUVI wanaovua samaki katika Ziwa Victoria eneo la Kijiji cha Mugara, Kata ya Iramba Wilaya ya Bunda, mkoani Mara, wamelalamikia watu wanaodaiwa kuwa askari wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa kuvamia na kupora zana zao za uvuvi na samaki.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Jul
Wanaotuhumiwa kumuua sista wadaiwa kupora benki
WATUHUMIWA wanaodaiwa kumuua Sista Cresencia Kapuli na kumpora Sh milioni 20, jana wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa mashitaka ya wizi wa zaidi ya Sh milioni 479 katika benki ya Barclays.
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Wadaiwa kuuza samaki walioharibika
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fi8JaCfKDHs/VL_GqSbYNxI/AAAAAAAG-wQ/cVS8-e7_MWI/s72-c/unnamed.png)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBS0-0Ni0-E/U4OU1O1o5QI/AAAAAAAFlQs/Mz4xStem7eo/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A_gEwZBSsvM/VabjsBhtUTI/AAAAAAABjXo/IERsB3eJMSQ/s72-c/OFFICIAL%2BPOSTER.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LvDVQzCM3iuYO7UFTjnUFu-BwMg*KGeb6K-Tua3wHehsow5b7gL9WBwHbsGYfqGZAApCFSUVJ1ltIgFgXTAnKJG/AlbertMangwair.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA MEI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kumbukumbu ya Kifo cha Mangwea Juni 28, Samaki Samaki Morogoro
Mangwea enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale
MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki Samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.
Akizungumza na mtando huu , Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ alisema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert –...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rlKdysP3wBo/VOiGE16gIgI/AAAAAAAHE_Q/6ShxRvZW4CA/s72-c/DSC_0354.jpg)
USIKU WA WATEMBO NDANI YA KIOTA CHA SAMAKI SAMAKI NI RAHA TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-rlKdysP3wBo/VOiGE16gIgI/AAAAAAAHE_Q/6ShxRvZW4CA/s1600/DSC_0354.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-AHWHU0BwQqc/VOiGEtljAfI/AAAAAAAHE_M/QXTWiS_GEjs/s1600/DSC_0379.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xYJWi49KYxE/VOiGFo-DmsI/AAAAAAAHE_k/3JhXOu-Q7Dk/s1600/DSC_0407.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r86mgXobb40/VRVqvff7RVI/AAAAAAAHNp4/qnCS4F4w94M/s72-c/1.jpg)
SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...