USIKU WA WATEMBO NDANI YA KIOTA CHA SAMAKI SAMAKI NI RAHA TU
![](http://2.bp.blogspot.com/-rlKdysP3wBo/VOiGE16gIgI/AAAAAAAHE_Q/6ShxRvZW4CA/s72-c/DSC_0354.jpg)
Balozi wa kinjwaji cha Baileys katika Usiku wa Warembo ndani ya Kiota cha Samaki Samaki,Vanessa (mwenye nguo nyeusi) akiwa katika picha ya pamoja na warembo katika kiota cha Samaki Samaki mtaa wa Samora Jijini Dar es Salaam,ikiwa ni muendelezo wa kuwaleta pamoja warembo wote hapa mjini.
Wateja waliofika katika kiota cha Samaki samaki katika siku ya warembo wakiwa wanawaangalia warembo hawapo pichani.
Balozi wa Baileys,Rahma Zumba (wa tatu kulia) akiwahudumia wateja waliofika katika kiota cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LQskPInfO58/VOXWiYbz5xI/AAAAAAAHEjI/l89qF6i8Bww/s72-c/Siku%2BYa%2BWarembo%2BDJ%2BBiggie.png)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-do5RdOAqn7M/VMJUGuqanSI/AAAAAAAApj0/J8KmcXwID6I/s72-c/DSC_0230.jpg)
WADAU KIBAO NDANI YA USIKU WA WAREMBO KATIKA KIOTA CHA SAMAKI SAMAKI JIJINI DAR
![](http://2.bp.blogspot.com/-do5RdOAqn7M/VMJUGuqanSI/AAAAAAAApj0/J8KmcXwID6I/s1600/DSC_0230.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XF3M-ojAt38/VMJUGggiKyI/AAAAAAAApj4/elH25MpnLhE/s1600/DSC_0244.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fi8JaCfKDHs/VL_GqSbYNxI/AAAAAAAG-wQ/cVS8-e7_MWI/s72-c/unnamed.png)
10 years ago
MichuziSAMAKI SAMAKI NA USIKU WA WAREMBO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eBS0-0Ni0-E/U4OU1O1o5QI/AAAAAAAFlQs/Mz4xStem7eo/s72-c/unnamed+(66).jpg)
TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA JUNI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
11 years ago
Dewji Blog27 May
Kumbukumbu ya Kifo cha Mangwea Juni 28, Samaki Samaki Morogoro
Mangwea enzi za uhai wake.
Na Andrew Chale
MASTAA mbalimbali nchini wakiwemo wanamuziki wanatarajiwa kushiriki kwenye tukio maalum la kumbukumbu ya mwaka mmoja tokea kifo cha marehemu Albert Mangwea ‘Ngwair’ , litakalofanyika ndani ya ukumbi wa Nyumbani Park (Samaki Samaki Spot) , Kihonda Morogoro mjini Juni 28.
Akizungumza na mtando huu , Mratibu Mtendaji wa tamasha hilo, Kareeem Omary ‘KO’ alisema maandalizi ya tukio hilo litakalokuwa la kila mwaka, limepwa jina la ‘Love Concert –...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LvDVQzCM3iuYO7UFTjnUFu-BwMg*KGeb6K-Tua3wHehsow5b7gL9WBwHbsGYfqGZAApCFSUVJ1ltIgFgXTAnKJG/AlbertMangwair.jpg?width=650)
KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MANGWEA MEI 28, SAMAKI SAMAKI MOROGORO
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A_gEwZBSsvM/VabjsBhtUTI/AAAAAAABjXo/IERsB3eJMSQ/s72-c/OFFICIAL%2BPOSTER.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r86mgXobb40/VRVqvff7RVI/AAAAAAAHNp4/qnCS4F4w94M/s72-c/1.jpg)
SAMAKI SAMAKI KUCHANGIA ELIMU KWA WATOTO YATIMA
Mgahawa wa Samaki Samaki umeanzisha mpango wa kuchangia Elimu kwa watoto yatima kwa kila mtu atakayekula katika migahawa ya samaki samaki itatolewa sh.1000 kwa bei halisi na sio kukatwa mteja.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ,Afisa Mkuu wa Masoko wa Samaki Samaki,Edward Lusala amesema Samaki Samaki imefikisha miaka nane tangu kuanza kwake na wameona kuna umuhimu wa kuchangia katika kundi la watoto yatima.
Amesema kuwa wanawafundisha...