Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la Katiba: Kanuni zisilazimishe kura ya wazi, usiri? [VIDEO]

Ushauri huo umetolewa na mwenyekiti wa Kamati hiyo, Prof. Costa Ricky Mahalu katika semina iliyohitimishwa leo asubuhi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kura ya siri, wazi kaa la moto Bunge la Katiba

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, juzi na jana wamekuwa katika mtihani mgumu wa kufikia uamuzi wa pamoja kuhusu utaratibu wa upigaji kura, kati ya kura ya wazi na kura ya siri.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Msipofuata kanuni, tusilaumiane,’ Sitta awaonya wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]

>Sitta aasa wajumbe wafanye kazi iliyowapeleka Dodoma bila manung’uniko wala lawama.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni za kuongoza #Bunge la #Katiba zawasilishwa, porojo za kupoteza muda sasa marufuku [VIDEO]

BUNGE maalum la Katiba limekutana leo mjini Dodoma kwa ajili ya kujadili kanuni mbalimbali zitakazotumika kuliendesha Bunge hilo katika vikao vyake.

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Katiba 'litaendelea bila Ukawa,' asema Sitta huku kanuni zikirekebishwa [VIDEO]

Wakati vikao vya Bunge Maalum la Katiba vikianza tena mjini Dodoma bila ya kuwepo kwa Ukawa, Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samweli Sitta amesema Bunge hilo halitaahirisha shughuli zake hadi hapo muda wa siku 60 waliopewa utakapokamilika.

 

11 years ago

Mwananchi

Kanuni zaibua tena mdahalo Bunge la #Katiba, Ukawa wahoji kwa nini zibadilishwe [VIDEO]

Wana-UKAWA hao wamesisitiza kamwe hawatakubali mabadiliko yoyote ya kanuni, isipokuwa yale tu ya vipengele vya 37 and 38 vinavyoelekeza namna ya kupiga kura.

 

11 years ago

Mwananchi

Kura ya siri yazua mjadala mkali #Bunge la #Katiba [VIDEO]

Kutokana na uzito wa mjadala huo wa kura, mwenyekiti wa muda wa Bunge la Katiba, Pandu Ameir Kificho, alilazimika kusogeza mbele muda wa kumaliza kikao hicho hadi saa tatu usiku.

 

11 years ago

Mwananchi

Kura ya siri ama la? ‘Amueni wenyewe,’ Mahalu awaambia wajumbe #Bunge la #Katiba [VIDEO]

>Swali la njia muafaka ya kupiga kura limewagawa vilivyo wajumbe wiki hii, huku vikao vikitawaliwa na mabishano makali kati ya wanaotaka kura ya siri, na wanaotaka uwazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani