Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mjumbe Bunge la Katiba apigia kura wodini

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli

NA ESTHER MBUSSI, DODOMA

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli, amepiga kura akiwa wodini katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma alikolazwa.

Mgoli alipiga kura jana akiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba 12, Thuwaibay Kissassi.

Alipiga kura ya wazi kwa kuzipigia kura ya ndiyo sura ya pili hadi ya tano isipokuwa ibara ya 59.

Akizungumza baada ya kupiga kura, ni...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

CCM wasaka kura ya mjumbe wodini

JITIHADA za Kamati za Bunge Maalum la Katiba, kupata uungwaji mkono wa ibara walizozijadili, jana ziliilazimisha kamati namba 12 kumfuata mjumbe wake wodini apige kura. Mjumbe huyo ni Thomas Mgori,...

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge Maalum apiga kura hospitalini

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi 201, Thomas Mgoli, ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amelazimika kupiga kura hospitalini, kushiriki kufanya uamuzi wa ibara alizoshiriki kujadili katika Kamati yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-3

Wiki iliyopita shuhuda wa simulizi hii Mwandishi Salma Said, alianza kuelezea yale yaliyojitokeza wakati wa upigaji kura ndani ya lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba, ambapo aliishia sehemu ambayo Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alitakiwa kuitisha kikao cha kuwaunganisha Wazanzibari kuzungumzia mahitaji yao.Endelea…

 

10 years ago

Mwananchi

Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-2

Ni kauli ya mjumbe aliyeshiriki mchakato wote wa Katiba ndani Bunge Maalumu, ikiwemo kuipigia kura rasimu.

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa

MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba

Ningependa niandike simulizi za siku chache kabla ya upigaji kura namna ambavyo hali ngumu ilivyotukabili sisi watu saba ambao tuliamua kupiga kura ya hapana tena ya wazi, jinsi Wazanzibari wenzetu walivyotuchukulia kwa mtazamo tofauti kutoka nyumbani Zanzibar baadhi ya vijana walichapisha vipeperushi na kuvisambaza kwenye mitandao ya kijamii wakitutaka turudi nyumbani na kutuita wasaliti.

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe Bunge la Katiba apigwa, alazwa

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (kulia) akimjulia hali Mjumbe wa Bunge Maalumu kutoka Kundi la 201, Thomas Mgoli aliyelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma jana baada ya kujeruhiwa na watu wasiojulikana, waliomvamia wakati akipata huduma katika duka moja lililopo karibu na mahali anapoishi mjini humo usiku wa kuamkia jana. (Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge).MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya, umeingia hatua nyingine baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, kupigwa na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

 

11 years ago

CloudsFM

MJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AJERUHIWA

Mjumbe wa bunge maalum la katiba kutoka kundi la 201,Thomas Magnus Mgoli amelazwa katika hospitali ya mkoa Dodoma baada ya kupigwa na wanaodaiwa kuwa 'vijana ambao mashabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)'. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi akiwa kitandani kwake, Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao jana usiku majira ya saa moja eneo la area D anakoishi.
Amesema vijana hao hukutana nao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani