Mjumbe Bunge la Katiba apigia kura wodini
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli
NA ESTHER MBUSSI, DODOMA
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba aliyepigwa na watu wasiojulikana, Thomas Mgoli, amepiga kura akiwa wodini katika Hospitali ya Mkoa wa Dodoma alikolazwa.
Mgoli alipiga kura jana akiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati namba 12, Thuwaibay Kissassi.
Alipiga kura ya wazi kwa kuzipigia kura ya ndiyo sura ya pili hadi ya tano isipokuwa ibara ya 59.
Akizungumza baada ya kupiga kura, ni...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima13 Aug
CCM wasaka kura ya mjumbe wodini
JITIHADA za Kamati za Bunge Maalum la Katiba, kupata uungwaji mkono wa ibara walizozijadili, jana ziliilazimisha kamati namba 12 kumfuata mjumbe wake wodini apige kura. Mjumbe huyo ni Thomas Mgori,...
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Habarileo13 Aug
Mjumbe Bunge Maalum apiga kura hospitalini
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kutoka kundi 201, Thomas Mgoli, ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, amelazimika kupiga kura hospitalini, kushiriki kufanya uamuzi wa ibara alizoshiriki kujadili katika Kamati yake.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-3
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba-2
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mjumbe Bunge la Katiba afukuzwa
MJUMBE wa Bunge la Katiba, Rashid Yussuf Mshenga amefukuzwa uanachama wa Chama cha Wakulima (AFP). Kitendo hicho kimefanywa na Mwenyekiti wa chama hicho, Said Soud. Hata hivyo, Mshenga amepinga kitendo hicho na kudai ni matokeo ya wivu wa maendeleo.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Ushuhuda wa Mjumbe wa Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo12 Aug
Mjumbe Bunge la Katiba apigwa, alazwa
MJADALA kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya, umeingia hatua nyingine baada ya Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Thomas Mgoli, kupigwa na kulazwa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma na wanaodhaniwa kuwa wafuasi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
11 years ago
CloudsFM12 Aug
MJUMBE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA AJERUHIWA
Mjumbe wa bunge maalum la katiba kutoka kundi la 201,Thomas Magnus Mgoli amelazwa katika hospitali ya mkoa Dodoma baada ya kupigwa na wanaodaiwa kuwa 'vijana ambao mashabiki wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)'. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi akiwa kitandani kwake, Mgoli amesema alishambuliwa na vijana hao jana usiku majira ya saa moja eneo la area D anakoishi.
Amesema vijana hao hukutana nao mara kwa mara anapokwenda dukani na huzungumzia masuala ya bunge hilo, lakini...