Ubalozi wajiandaa kuondoa Watanzania Afrika Kusini
UBALOZI wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza utambuzi wa Watanzania waishio katika maeneo ya hatari nchini humo kabla ya kuanza hatua za kuwaondoa na kuwarejesha nyumbani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo10 Mar
Rwanda yatimua maofisa Ubalozi wa Afrika Kusini
SERIKALI ya Rwanda, imefukuza maofisa sita wa ubalozi wa Afrika Kusini muda mfupi baada ya nchi hiyo kuwataka maofisa wa watatu ubalozi wa Rwada kuondoka Afrika Kusini.
11 years ago
MichuziUbalozi wa Afrika ya kusini na Vodacom waadhimisha siku ya Nelson Mandela
11 years ago
GPLUBALOZI WA AFRIKA YA KUSINI NA VODACOM WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA NELSON MANDELA
11 years ago
Dewji Blog18 Jul
Ubalozi wa Afrika ya Kusini, Umoja wa Mataifa (UN) na Vodacom waadhimisha siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR), Joyce Mends-Cole akizungumza na baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya Nelson Mandela kabla ya kusoma ujumbe maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Mooniliyofanyika leo duniani kote na hapa nchini imeadhimishwa katika shule ya watoto wenye mahitaji maalum na kudhaminiwa na Vodacom.
Na Mwandishi wetu
Wafanyakazi wa Ubalozi wa Afrika ya kusini nchini Tanzania,...
10 years ago
Habarileo21 Apr
‘Watanzania hawajafa Afrika Kusini’
SERIKALI imesema hakuna Mtanzania aliyekufa Afrika Kusini, licha ya watu kadhaa kutoka mataifa mengine kupoteza maisha.
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Watanzania waliokuwa Afrika Kusini warudishwa
10 years ago
Mtanzania21 Apr
Watanzania 23 walijificha dukani Afrika Kusini
Patricia Kimelemeta na Grace Shitundu
SERIKALI imesema Watanzania 23 wamenusurika kuuawa katika ghasia zinazoendelea nchini Afrika Kusini baada ya kujificha kwenye duka kubwa (Supermarket).
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, alisema hadi jana hakuna taarifa za Mtanzania aliyepoteza maisha.
Alisema katika vurugu hizo, watu wanane ambao walifariki dunia wanatoka nchi za Malawi, Msumbiji, Ethiopia,...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Watanzania 23 waishi kambini Afrika Kusini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--QLAC5NQRuk/VTuhaG1clXI/AAAAAAAHTNY/-0JF8rEuxD0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-25%2Bat%2B5.13.17%2BPM.png)
WATANZANIA WALIOKUWA AFRIKA KUSINI WAMEREJEA NYUMBANI
![](http://3.bp.blogspot.com/--QLAC5NQRuk/VTuhaG1clXI/AAAAAAAHTNY/-0JF8rEuxD0/s1600/Screen%2BShot%2B2015-04-25%2Bat%2B5.13.17%2BPM.png)
Watanzania hao walikuwa wanaishi katika kambi za dharura za Isipingo na Phoenix zilizopo jijini Durban. Walisindikizwa kurudi nyumbani na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, Bw. Elibahati...