Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sarumagaoni wajiandaa kuandamana

Mgogoro wa wakazi wa Sarumagaoni Halmashauri ya Jiji la Tanga, wanaodai kutokana na kuhamishwa katika eneo hilo umeingia katika sura mpya baada wakazi hao kutishia kuandamana hadi ofisi za mkuu wa mkoa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

CCM Mufindi wajiandaa kufukuzana

DSC_0926NA GUSTAPHU HAULE, IRINGA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Mufindi, Mkoa wa Iringa, kinaendelea kufanya uchunguzi dhidi ya wanachama waliofanya usaliti wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.

Baada ya uchunguzi huo kukamilika, wasaliti wote watatimuliwa ili kubaki na wanachama wenye nia njema na chama hicho.

Taarifa hiyo ilitolewa jana na Katibu wa CCM Wilaya ya Mufindi, Jimson Mhagama, alipokuwa akizungumza na MTANZANIA ofisini kwake kuhusu mwenendo wa chama wilayani...

 

9 years ago

Global Publishers

Q Chillah, MB Dog wajiandaa na kolabo

qchillah
Mkongwe katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’.

Said Ally, Dar es Salaam
WAKONGWE katika muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Aboubakar Katwila ‘Q Chillah’ na Mbwana Mohamed ‘MB Dog’ kwa sasa waumeungana kuhakikisha wanarudi kukonga nyoyo za mashabiki wao ambao wamewamisi kwa muda mrefu.

Q Chillah na MB Dog kwa vipindi tofauti waliwahi kubamba kwenye tasnia hiyo kabla ya kupotea na sasa wanarejea tena.

wwe33333MB Dog.

Akizungumza na Mikito Jumatano, Q Chillah alisema kuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

KGA wajiandaa kwa maandamano, mgomo

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha waongoza watalii mkoa wa Kilimanjaro (KGA), wameazimia kufanya mgomo na maandamano ili kuishinikiza serikali kusimamia sheria ya kuwataka mawakala wa utalii wawalipe waongoza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Maafisa wajiandaa kuhesabu kura Mwanza

Maafisa wa uchaguzi wanajiandaa kuanza kuhesabu kura mjini Mwanza. Masanduku yenye kura zilizopigwa yamekuwa yakiwasili katika kituo kikuu cha kuhesabia kura.

 

10 years ago

Habarileo

Ubalozi wajiandaa kuondoa Watanzania Afrika Kusini

Waziri wa Mambo ya Nje, Bernad Membe.UBALOZI wa Tanzania nchini Afrika Kusini umesema umeanza utambuzi wa Watanzania waishio katika maeneo ya hatari nchini humo kabla ya kuanza hatua za kuwaondoa na kuwarejesha nyumbani.

 

10 years ago

Mwananchi

Wajiandaa kulinganisha mitalaa ya vyuo Afrika Mashariki

Ushirikiano wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaendelea kukua siku hadi siku, licha ya changamoto na matatizo.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Handeni wajiandaa kushiriki uchaguzi mdogo wa mbunge

 

 

Baadhi ya wakazi wa jimbo jipya la Handeni mjini mkoani Tanga wamesema wamejiandaa vyema kushiriki uchaguzi wa mbunge utakaofanyika Desemba 12 mwaka huu ambapo uchaguzi ulihairishwa baada ya mgombea wa CCM Abdalah Kigoda kufariki dunia.

Wakazi hao wameahidi kumchagua kiongozi ambaye pamoja na mambo mengine atashughulikia tatizo la maji ambalo limekuwa la kudumu katika jimbo hilo.

Uchaguzi wa jimbo hilo uliahirishwa baada ya mgombea kupitia CCM Dokta Abdalah Kigoda kufariki dunia.

 Jimbo...

 

10 years ago

Michuzi

TABATA KISIWANI WAJIANDAA NA SHEREHE ZA UBINGWA WA YANGA JUNI 16 MWAKA HUU.

Makamu Mwenyekiti waTabata Kisiwani (TBT),Brito Burure akizungumza na waandishi leo katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO , Jijini Dar es Salaam juu ya  Maandalizi ya Sherehe za ubingwa wa Timu ya Yanga itakayofayika Juni 16 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee. Kulia ni Mweka hazina wa tawi hilo Lawrence Zephiline.Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti waTabata Kisiwani (TBT),Brito Burure katika ukumbi wa idara ya habari Maelezo jijini Dar es Salaam.(PICHA NA...

 

11 years ago

Michuzi

Profesa mbele na timu yake wajiandaa kwa Tamasha la Afrifest Agosti 2, 2014

Na Profesa MbeleKila mwaka, tangu mwaka 2007, nahudhuria tamasha la Afrifest, ambalo hufanyika hapa Minnesota, Marekani. Imewahi kutokea kwamba nilikuwa Tanzania wakati wa tamasha hilo. Binti zangu wananiwakilisha.Wanafahamu vizuri shughuli zangu, na wanawaeleza watu wanaoulizia kuhusu shughuli zangu na vitabu vyangu.
Hapa naonekana nikiwa na mama mmoja aliyekuja kwenye meza yangu. Nilimweleza yale aliyoulizia. Hata hivi, kwa kumwangalia usoni, hakuonekana anavutiwa na yale niliyokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani