Lema mbaroni kwa kuzidisha dk 6 mkutano wa kampeni
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
MGOMBEA ubunge wa Chadema, Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Lema, jana amekamatwa na polisi akidaiwa kuzidisha muda katika mkutano wake wa kampeni na kufanya maandamano bila kibali.
Tukio hilo lilitokea baada ya mkutano huo wa kampeni katika viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenaro ambapo Lema alihutubia hadi saa 12:06 badala ya saa 12:00, na aliposhuka jukwaani na kuanza kuondoka, wafuasi wake walianza kumfuata na kusukuma gari lake.
Baada ya hatua chache kutoka uwanjani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMBOWE ASHIKILIWA KWA MUDA NA JESHI LA POLISI IRINGA, AACHIWA KWA KOSA LA KUZIDISHA MUDA KWENYE MKUTANO WAO WA HADHARA.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
IGP : Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu. Julius Mathias – Mwananchi Posted Jumanne, Septemba 8, 2015 Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu amesema hakuna sheria inayozuia wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya kampeni […]
The post IGP: Kuzidisha muda wa kampeni si kosa la jinai appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Vijimambo18 Sep
52 mbaroni kwa vurugu za kampeni
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2653956/highRes/966912/-/maxw/600/-/ck2462z/-/zitto_clip.jpg)
Kukamatwa kwa watu hao ni kutokana na kuripotiwa kwa matukio 107 ya uvunjifu wa amani, ambapo tayari matukio 38 yameshafanyiwa upelelezi na kufunguliwa kesi huku matukio mengine 68 yakiendelea kufanyiwa upelelezi.
Akitoa tathimini ya mwenendo wa kampeni za uchaguzi, Msemaji wa Jeshi hilo, Advera Bulimba...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Lema, Nassari kuzindua kampeni Sombetini
WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Arusha, Godbless Lema na Joshua Nassari, wanatarajia kuzindua kampeni za udiwani Kata ya Sombetini, kesho. Akizungumza na Tanzania Daima jana, mgombea...
9 years ago
StarTV30 Dec
Serikali kuongeza adhabu kwa wanaovunja sheria kwa kuzidisha mizigo
Serikali inatarajia kuongeza adhabu ya makosa ya uzidishaji mizigo inayosafirishwa kwenye magari kwa njia barabara kuwa kubwa kuliko thamani ya mizigo inayosafirishwa ili kukomesha vitendo vya ukiukaji wa sheria za usafirishaji ambao unasababisha uharibifu wa barabara nchini.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano amesema kabla ya kufanya maamuzi hayo, watakaa na wadau wa barabara kuwashirikisha uamuzi huo ili kuzifanya barababra nchini kuwa salama.
Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Afa kwa kuzidisha viroba
MKAZI wa Kijiji cha Ibindi, Tarafa ya Nsimbo, wilayani Mlele, Michael Silanda (26), amefariki dunia baada ya kunywa pombe za viroba aina ya Zed kupita kiasi bila kula. Kamanda wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i5FEL-0gMus/VgywlD9DmvI/AAAAAAAAESE/pdzemGRg3PA/s72-c/IMG_0132.jpg)
BI. SAMIA SULUHU AAHIDI NEEMA KWA WAKAZI WA MUSOMA MKUTANO WA KAMPENI...!
![](http://4.bp.blogspot.com/-i5FEL-0gMus/VgywlD9DmvI/AAAAAAAAESE/pdzemGRg3PA/s1600/IMG_0132.jpg)
Alisema Serikali itakayoundwa na CCM imepanga kujenga maeneo ya kisasa ya maegesho ya meli (magati) Musoma na...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--3urErrP8Ok/VgywlXnvLEI/AAAAAAAAESI/uTxzLBFt--s/s72-c/IMG_0109.jpg)
BI. SAMIA SULUHU AHAIDI NEEMA KWA WAKAZI WA MUSOMA MKUTANO WA KAMPENI
![](http://1.bp.blogspot.com/--3urErrP8Ok/VgywlXnvLEI/AAAAAAAAESI/uTxzLBFt--s/s640/IMG_0109.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i5FEL-0gMus/VgywlD9DmvI/AAAAAAAAESE/pdzemGRg3PA/s640/IMG_0132.jpg)
Alisema Serikali itakayoundwa na CCM imepanga kujenga maeneo ya kisasa ya maegesho ya meli (magati) Musoma na...