Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kama Takukuru wamo, tuponee wapi?

Kwenye toleo letu la jana, ukurasa wa tatu tulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “Repoa: Takukuru ilikithiri kwa kupokea rushwa 2014” iliyotokana na matokeo ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Afrobarometr ya Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMA HUNA BAHATI YA KUPENDWA, TATIZO LIKO WAPI?

Mpenzi msomaji wangu, wiki iliyopita nilipata barua pepe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wangu aliyejitambulisha kwa jina moja la Joanitha. Aliniandikia ujumbe mrefu sana juu ya kile kinachomsumbua kwenye maisha yake ya kimapenzi na akaniomba nimsaidie ili aweze kuwa na amani.Ujumbe wake huo ndiyo ulionisukuma kuandika makala haya kuelekea kwenye ile siku muhimu sana kwa wapendanao ya Valentine’s Day. Aliandika hivi:...

 

10 years ago

Vijimambo

JE UNATAKA KUJUA WEMA SEPETU KAZALIWA MWAKA GANI, WAPI NA KASOMA WAPI! SOMA HAPA

wema sepetu bongoclan.co.tzAkiwa mmoja kati ya wanadada wanofanya vizuri sana kwenye Tasnia hii ya Bongo Movies ,Wema Sepetu ni msichana  anayetoka kwenye Familia ya kibalozi ni mtoto wa mwisho katika familia ya wasichana wanne wa Balozi Isaack Sepetu Ibrahimu.Ana sura na umbo zuri sana, na mvuto mkubwa sana kutokana na rangi yake nzuri ya ngozi. Wema sepetu alizaliwa mnamo mwaka 1988 katika hospitali ya ST. Andrew’s jijini Dar es Salaam na ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yao yenye watoto wanne wa kike.wema sepetu bongoclan.co.tz..

 

9 years ago

GPL

SAJENTI, SIASA NA MALEZI YA MTOTO WAPI NA WAPI?

MAISHA ya Kibongo kwa kweli ni magumu sana. Kuna msemo mmoja maarufu sana mtaani unaosema kuwa bora jana kuliko leo, wakimaanisha angalau jana walikuwa na uhakika, hawajui leo itakuwaje. Vijana wako bize kutafuta hela kwa kila mbinu, wenye haraka wakitumia silaha, ushirikina na hata utapeli, ili mradi kila mmoja anajitahidi kuhakikisha maisha yake ya leo yanakwenda sawa, huku akijiweka vizuri kuishika kesho yake isiingie...

 

11 years ago

Mwananchi

Zidane, Ronaldo bado wamo

Wakongwe wa soka, Zinedine Zidane na Ronaldo kwa mara nyingine tena wamewakusanya wachezaji nyota mbalimbali wa zamani na kucheza mechi kwa ajili ya kukusanya fedha kusaidia maskini.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ngeleja: Hawavumi lakini wamo

MMOJA wa waliotangaza nia kuomba kuteuliwa kuwania urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pengine hakuwa na mshindo au hakuonekana tishio ni Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.

Wengi walimuona ni mtu wa kawaida, ambaye asingeweza kuwa tishio, huku wengine wakimwita ni pandikizi la wagombea wengine, wenye majina makubwa ndani ya CCM.

Polepole na kwa uhakika Ngeleja ameweza kuchanja mbuga, huku hoja zake zikiwafanya baadhi ya watu kufikiri kuhusu ugombea wake na namna...

 

9 years ago

BBCSwahili

Saratani:Watu warefu wamo hatarini

Utafiti wa kampuni moja ya Sweden uliofanyiwa watu milioni 5 umeonekana kuthibitisha nadharia kwamba urefu wa mtu na hatari za ugonjwa wa saratani zina uhusiano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kujitoa uhai:Vijana wengi wamo hatarini

"Watu hudhani ni uhalifu kujiua,lakini sivyo hivyo,anasema lauren Ball mwenye umri wa miaka 20 ambaye amejaribu kujiua kwa mara kadhaa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo, Muller wamo kikosi bora Uefa

Kikosi bora cha wachezaji kumi na moja kilichocheza hatua ya makundi ya michuno ya klabu bingwa ulaya kimetangazwa na Uefa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani