Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja: Hawavumi lakini wamo

MMOJA wa waliotangaza nia kuomba kuteuliwa kuwania urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pengine hakuwa na mshindo au hakuonekana tishio ni Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.

Wengi walimuona ni mtu wa kawaida, ambaye asingeweza kuwa tishio, huku wengine wakimwita ni pandikizi la wagombea wengine, wenye majina makubwa ndani ya CCM.

Polepole na kwa uhakika Ngeleja ameweza kuchanja mbuga, huku hoja zake zikiwafanya baadhi ya watu kufikiri kuhusu ugombea wake na namna...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

ankal akutana na magwiji wa teknohama wa Maktech ambao ingawa hawavumi lakini wamo....

Leo Ankal amepata bahati ya kukutana na Maktech, kampuni inayojishughulisha na kutatua changamoto na kuweka mambo sawa katika uhandisi wa  TEKNOHAMA Tanzania. Pichani na Ankal akiwa na baadhi tu ya wadau wa Maktech ambao walimkaribisha kwa chakula cha mchana Ijumaa na kubadilishana naye mawazo.

 

11 years ago

Mwananchi

Zidane, Ronaldo bado wamo

Wakongwe wa soka, Zinedine Zidane na Ronaldo kwa mara nyingine tena wamewakusanya wachezaji nyota mbalimbali wa zamani na kucheza mechi kwa ajili ya kukusanya fedha kusaidia maskini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kama Takukuru wamo, tuponee wapi?

Kwenye toleo letu la jana, ukurasa wa tatu tulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “Repoa: Takukuru ilikithiri kwa kupokea rushwa 2014” iliyotokana na matokeo ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya Afrobarometr ya Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Saratani:Watu warefu wamo hatarini

Utafiti wa kampuni moja ya Sweden uliofanyiwa watu milioni 5 umeonekana kuthibitisha nadharia kwamba urefu wa mtu na hatari za ugonjwa wa saratani zina uhusiano.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kujitoa uhai:Vijana wengi wamo hatarini

"Watu hudhani ni uhalifu kujiua,lakini sivyo hivyo,anasema lauren Ball mwenye umri wa miaka 20 ambaye amejaribu kujiua kwa mara kadhaa.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini

WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ronaldo, Muller wamo kikosi bora Uefa

Kikosi bora cha wachezaji kumi na moja kilichocheza hatua ya makundi ya michuno ya klabu bingwa ulaya kimetangazwa na Uefa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi

>Watu watano wamefariki dunia kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, watatu kati yao wakiwamo wanafunzi wawili, wakipoteza maisha baada ya kibanda walichojihifadhi kujikinga na mvua kuangukiwa na nguzo ya umeme na kuwaunguza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani