Ngeleja: Hawavumi lakini wamo
MMOJA wa waliotangaza nia kuomba kuteuliwa kuwania urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pengine hakuwa na mshindo au hakuonekana tishio ni Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.
Wengi walimuona ni mtu wa kawaida, ambaye asingeweza kuwa tishio, huku wengine wakimwita ni pandikizi la wagombea wengine, wenye majina makubwa ndani ya CCM.
Polepole na kwa uhakika Ngeleja ameweza kuchanja mbuga, huku hoja zake zikiwafanya baadhi ya watu kufikiri kuhusu ugombea wake na namna...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-yJ3QahkkOHg/VItjdqgJvGI/AAAAAAAG27I/TgMM6vmwsmo/s72-c/IMG_2129.jpg)
ankal akutana na magwiji wa teknohama wa Maktech ambao ingawa hawavumi lakini wamo....
![](http://4.bp.blogspot.com/-yJ3QahkkOHg/VItjdqgJvGI/AAAAAAAG27I/TgMM6vmwsmo/s1600/IMG_2129.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1lAnPIw432E/VItjx6xsJ-I/AAAAAAAG27Q/QtK8hMF8a6g/s1600/IMG_2130.jpg)
11 years ago
Mwananchi06 Mar
Zidane, Ronaldo bado wamo
10 years ago
Mwananchi08 Feb
Kama Takukuru wamo, tuponee wapi?
9 years ago
BBCSwahili02 Oct
Saratani:Watu warefu wamo hatarini
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Kujitoa uhai:Vijana wengi wamo hatarini
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini
WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Ronaldo, Muller wamo kikosi bora Uefa
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Mvua yaua watano Dar, wamo wanafunzi