ankal akutana na magwiji wa teknohama wa Maktech ambao ingawa hawavumi lakini wamo....
![](http://4.bp.blogspot.com/-yJ3QahkkOHg/VItjdqgJvGI/AAAAAAAG27I/TgMM6vmwsmo/s72-c/IMG_2129.jpg)
Leo Ankal amepata bahati ya kukutana na Maktech, kampuni inayojishughulisha na kutatua changamoto na kuweka mambo sawa katika uhandisi wa TEKNOHAMA Tanzania. Pichani na Ankal akiwa na baadhi tu ya wadau wa Maktech ambao walimkaribisha kwa chakula cha mchana Ijumaa na kubadilishana naye mawazo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
Ngeleja: Hawavumi lakini wamo
MMOJA wa waliotangaza nia kuomba kuteuliwa kuwania urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pengine hakuwa na mshindo au hakuonekana tishio ni Mbunge wa Sengerema, William Ngeleja.
Wengi walimuona ni mtu wa kawaida, ambaye asingeweza kuwa tishio, huku wengine wakimwita ni pandikizi la wagombea wengine, wenye majina makubwa ndani ya CCM.
Polepole na kwa uhakika Ngeleja ameweza kuchanja mbuga, huku hoja zake zikiwafanya baadhi ya watu kufikiri kuhusu ugombea wake na namna...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-ECIHFUDZb_g/UrRYjRGwmGI/AAAAAAAFChE/CUXS2T0tUdE/s640/r2.jpg)
KIONGOZI WA BENDI YA THE NGOMA AFRICA BAND YA UJERUMANI AKUTANA NA ANKAL, JIJINI DAR
10 years ago
Bongo Movies27 May
Ndikumana: Sijaachana na Irine Uwoya Ingawa Hatuishi Pamoja
Mume wa Staa wa filamu za Kibongo,Irene Uwoya, Hamad Ndikumana ‘Katauti’amesema kuwa hajaachana na msanii huyo kama ambavyo baadhi ya watu wanavyodhani.
Ndukumana ambaye ni mwanasoka kwenye klabu moja ya soka nchini Rwanda ameyazungumza hayo hivi karibuni wakati alipofanya mahojiano na mtangazaji wa Clouds TV,Zamaradi Mketema alisema kuwa ingawa hawaishi pamoja na Irene Uwoya lakini hawajaachana.
‘Sijaachana na Irene Uwoya ingawa hatuishi pamoja yeye anaishi Dar mie naishi Rwanda na bado...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a3f6lkFY4_Y/U_5PwceQX4I/AAAAAAAGEvs/NRtG4hG_keQ/s72-c/IMG_1413.jpg)
Birthday Wishes to Ankal from Mrs Ankal
![](http://3.bp.blogspot.com/-a3f6lkFY4_Y/U_5PwceQX4I/AAAAAAAGEvs/NRtG4hG_keQ/s1600/IMG_1413.jpg)
Mrs Ankal.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYpu-88N1RM/VYPm7MD7SdI/AAAAAAABQXs/OLmpnhkMFWs/s72-c/WASIRA.jpg)
SINA MAJINA YA MAFISADI, INGAWA UOVU HUU UMO NDANI YA VYAMA VYA SIASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYpu-88N1RM/VYPm7MD7SdI/AAAAAAABQXs/OLmpnhkMFWs/s640/WASIRA.jpg)
Wasira anayeongozwa na kauli mbiu ya Uadilifu na Umoja wa Watanzania; Safari ya Uhakika, alisema hayo wakati akizungumza na wana-CCM waliomdhamini katika mikoa ya Rukwa na Katavi jana.
Alisema CCM na serikali yake ni taasisi zilizo na misingi ya uadilifu, ingawa ndani yake...
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Teknohama na mtiririko wa ukweli uongo duniani
9 years ago
Mwananchi02 Sep
Magwiji wa Kiswahili
10 years ago
Dewji Blog17 Sep
Maendeleo ya TEKNOHAMA kwa sasa ikilinganishwa na hapo mwanzo
Na Benedict Liwenga, MAELEZO-DSM.
TEHAMA ni moja kati ya Sekta zinazokua kwa kasi hapa nchini na duniani kote na imekuwa ikichangia kikamilifu katika maendeleo ya Taifa na pia imekuwa ikiwezesha sekta nyingine kukua na kuboresha maisha ya wananchi na huduma za jamii kwa ujumla.
Kutokana na ukuaji wa Sekta hii, jitihada za makusudi zinahitajika katika kusimamia na kuratibu shughuli za TEHAMA ili nchi iweze kunufaika zaidi kwani mchango wa sekta hiyo unaweza kuwa mkubwa kama TEHAMA na...
9 years ago
Mwananchi09 Sep
Magwiji wa Kiswahili Tanzania