Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magwiji wa Kiswahili

Mathias Eugen Mnyampala alizaliwa  tarehe 18/11/1917 katika Kitongoji cha Muntundya, Ihumwa Wilaya ya Chamwino Mkoa wa Dodoma na kufariki dunia tarehe 8/6/1969. Ni mwandishi na mshairi maarufu wa Kiswahili, mwanaharakati wa kisiasa, mwanasheria  na mwanahistoria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Magwiji wa Kiswahili Tanzania

Wakati Watanzania wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu ujao, tunashuhudia pilikapilika nyingi za wanasiasa  wanaozungumzia  maendeleo ya taifa hili katika elimu, siasa, uchumi, afya, mawasiliano, nk. Kila chama cha siasa kimetayarisha vipaumbele vyake ambavyo vinalenga kuboresha maisha ya wananch

 

11 years ago

Mwananchi

KISWAHILI KWA WANAFUNZI: Ngeli tisa za Kiswahili na upatanisho wa kisarufi

Ngeli ni vikundi vya majina ya Kiswahili. Ngeli za nomino ni utaratibu unaotumika kuweka nomino katika matabaka au makundi yanayofanana.

 

10 years ago

Vijimambo

DARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER

Image result for atc metro DMVJUMUIYA YA WATANZANIA DMV INAWAKARIBISHA WATOTO WOTE KUSHIRIKI SIKU YA WHITE OAK CENTER ; SAA 5:00 ASUBUHU HADI SAA 8:00 MCHANA1700 April Lane, Silver Spring
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE  MINGINE .

KIINGILIO  BUREEEEE        











 

11 years ago

Mwananchi

Magwiji wa soka wamlilia Eusebio

Magwiji mbalimbali wa soka wameongoza kutoa rambirambi kwa kifo cha nyota wa zamani wa Ureno, Eusebio aliyefariki akiwa na miaka 71.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MAGWIJI WA TANZANIA WALIVYOLALA 2-1 KWA BARCELONA

Patrick Kluivert akijaribu kuwatoka wachezaji wa Tanzania. Shadrack Nsajigwa akimiliki mpira huku akizongwa na mchezaji wa Barca. Kikosi cha magwiji wa Tanzania.…

 

10 years ago

GPL

TIMU YA MAGWIJI WA BARCELONA WALIVYOWASILI ZANZIBAR

Kikosi cha Wachezaji wa Zamani wa Timu ya Barcelona wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume wakitokea Arusha. Rais wa Heshima wa Timu ya Barcelona Kocha Johan Cruyff, akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar alipofika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume.… ...

 

11 years ago

Michuzi

CHUO KIKUU CHA IRINGA WAZINDUA TAWI LA WANAFUNZI WANAOSOMA KISWAHILI AFRIKA MASHARIKI, WATAKA KATIBA MPYA KISWAHILI KIPEWE NAFASI

Mlezi wa chama  cha Chawakama na mwalimu wa kiswahili chuo kikuu cha Iringa Tulla Tweve  akitambulisha  wageni Mmoja kati ya  viongozi akieleza malengo ya Chawakama Mwalimu Chalamila akieleza  maana ya lugha ya kiswahili Mwalimu wa kiswahili  chuo cha Iringa ambae ni msanii wa wimbo wa Mufindi yetu  akiburudisha Wanachama  wakicheza  na msanii  huyo.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Mwananchi

Butiku: Viongozi CCM magwiji wa kuvunja Katiba

Mkurugenzi wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku amesema nchi inaongozwa na Katiba, lakini inashangaza viongozi wa chama chake cha CCM na vingine ndiyo wanaongoza kwa kuvunja sheria na taratibu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani