Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WENYE NYOTA ZA NGONO!

Stori: Hamida Hassan na Gladness Mallya Makubwa! Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya ameanika nyota za baadhi ya mastaa wa Bongo katika kipengele cha mapenzi au ngono, Risasi Jumamosi limesheheni. Mtabiri maarufu Bongo, Maalim Hussein Yahya. Akizungumza na mapaparazi wetu katikati ya wiki hii ofisini kwake Magomeni-Mwembechai jijini Dar, Maalim alitumia saa kadhaa kuangalia nyota ya mmoja baada ya mwingine na kueleza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MASTAA WANAOONGOZA KWA SKENDO ZA NGONO

Mwandishi wetu
Mastaa mbalimbali wa Bongo wamekuwa wakiandamwa na skendo huku baadhi wakiona ndiyo njia ya kujing’arisha kisanii.Skendo zao zimekuwa za aina mbalimbali lakini wengi wamekuwa wakiandamwa na skendo za ngono.Katika makala haya utaipata Top 10 ya mastaa wa kike waliondamwa na skendo za ngono. Baadhi wamekumbwa na skendo za kunaswa kwenye mitego ya kujiuza na wengine wakiingia kwenye listi hii kutokana na...

 

9 years ago

GPL

MASTAA HAWA WANA VIPAJI, TATIZO NYOTA

KATIKA ulimwengu wa muziki Bongo, tumekuwa tukiwasikia wasanii wachache wakivuma ndani na nje ya nchi huku wakifanya kazi na wasanii mbalimbali wa nchi tofauti na Tanzania. Pamoja na hao wachache kuvuma kimataifa, siyo kwamba wanajua sana kuliko wengine ila nyota zao ndizo zinazowasaidia kujikuta wakitajwa kila kona huku wengine wakiwa wanafanya vizuri lakini hawapati bahati hiyo ya kuwa gumzo ndani na nje, tatizo likiwa ni nyota...

 

10 years ago

Mwananchi

Mastaa 10 wenye mijengo ya maana Bongo

Matanuzi ni sehemu ya maisha ya mastaa wengi duniani, hivyo hata wanapoamua kufanya mambo ya maendeleo, hukakikisha wanafanya yale yatakayoendana na hadhi zao. Wapo wanaoamua kutanua kwa akili kwa kuwekeza katika vitu vya msingi kama nyumba na vitega uchumi.

 

10 years ago

GPL

WAJUE MASTAA WANANE WA NIGERIA WENYE MAJUMBA YA KIFAHARI

Genevieve Nnaji
Hili ni jumba la mwigizaji Genevieve Nnaji ambalo alilinunua jijini Accra, Ghana. Jengo hilo lina thamani ya dola milioni nne (Sh. Bilioni 8.6) likiwa eneo la Achimota. Daniella Okeke
Huu ni mjengo unaotisha wa Daniella Okeke ambao una thamani ya mamilioni. Ini Edo Haya ni makazi ya Ini Edo, mmoja wa nyota maarufu wa filamu nchini Nigeria ambako… ...

 

10 years ago

Bongo5

Mitandao ya kijamii ni mtaji wenye thamani kubwa kwa wasanii na mastaa

Miaka mitano iliyopita, ili msanii afikishe ujumbe kwa mashabiki wake, ilimlazimu kuhojiwa kwanza kwenye vyombo vya habari. Redio, TV na magazeti ndio zilikuwa njia pekee za kufikisha ujumbe wao. Lakini sasa mambo yamebadilika kabisa. Uamuzi wa kusambaza ujumbe wa msanii kwa umma upo kwenye kiganja chake mwenyewe. Kuanzishwa na kukua kwa mitandao ya kijamii, kumerahisisha […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani